#COVID19 Ni sahihi Humphrey Polepole kuonesha Msimamo wake wa kutochanjwa?

#COVID19 Ni sahihi Humphrey Polepole kuonesha Msimamo wake wa kutochanjwa?

Kuna watu wenyewe wanajiona ndio waamini sayansi bora, wao hata malimao na tangawizi waliita ni uganga wa kienyeji sasa hapo watu kama hao ukiwaambia wale mlo bora kwa kuimarisha kinga za mwili hawawezi kukuelewa kabisa.
 
Hivi kwanini wale wote wanaosema hawachanjwi (atleast for now) wanahusishwa na hiki kinachoitwa hujuma!? Hujuma ipi tena hii? Haya ni madhara ya kufundishwa ukondoo na kufuata kila anachosema mtawala hata kama akili yako inakuambiwa hii sio sawa.

Itafika muda watu watachanjwa tu. Ni kama yellow fever. Unaweza usihitaji kuchanja ila siku unataka kuvuka kupitia pale terminal #3 ndio utaambiwa huwezi kuvuka hapa maana kule uendako huingii bila hiyo chanjo.
Mkuu hata watawala unaowasema kama ni Mh. Rais alisema chanjo ni hiari na kama ni hiari maana yake si lazima na kama si lazima mtu akisema hachanjwi kwa nini tumuone kwa jicho baya? Wote wako sahihi

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Kweli chanjo ni hiyari, ila inaruhusuwa kushawishi watu wengine fikra zako?
Kama hiyo ni ruksa, kwanini kushawishi watu kuhusu kudai katiba mpya inakuwa tatizo kwa watawala?
Wakati wa Mwendazake hawahawa akina pole pole walikuwa wazuiaji wa maoni yoyote yaliyo kuwa kinyume na yale ya Mwendazake. Walitufanya tuwe watumwa katika nchi yetu. Ila leo wanatamani Uhuru wa kukosoa uwepo.
Tutawashughilikia tu, hatujawasahau!
 
Asanteeee. Well said comrade. Gwajima na Polepole wapo sahihi, wanatumia haki yao ya "HIARI". Na kwa wale akina Kigwangala wanaochoma chanjo pia wapo sahihi ni hiari yao,

IKIWA NI HIARI KWELI TUSILAZIMISHE MAAMUZI YA MTU MMOJA YAWE YA WOTE, NA IKIWA NI HIARI ANAYESIMAMA KUHAMASISHA CHANJO YUPO SAHIHI NA ANASIMAMA KUSEMA SHIDA YA CHANJO PIA YUPO SAHIHI. KWANN TULAZIMISHANE KUONGEA LUGHA MOJA? WHAT'S WRONG??
Mbona kuhusu katiba hampo hivyo?
 
Mh Rais kaacha watu wachague. Sioni shida ya wanaounga mkono kuonesha hadharani misimamo yao na hata wale wanaopinga pia. Imekua dhambi kusema sitachanjwa hadharani wakati ni haki na uhuru wa mtu kuchagua atakacho.Imekua haki mtu kunadi ubora na umuhimu wa chanjo lkn kosa kubwa sana mtu kuelezea mattz ya chanjo na habari zote hasi kuhusu chanjo. Kuna tatizo sehemu.
Leo mataga wanaongelea kitu haki!
Kweli dunia inaenda mbio!
 
Kama kuzidiwa nadhani wangekuwa washaachia nchi mpaka sasa hivi maana toka enzi za Cuf huko, we kubali tu walikuwa wana balance kitu ambacho safari hii hakikufanyika wenyewe mlikuliwa msharidhika kule kubalance.

Kuzudiwa hakuna matokeo ya siku moja, bali muda unavyokwenda. Na hilo lilikuwa dhahiri kuwa kadiri siku zinavyokwenda wapinzani walikuwa wanaongezeka na sio kupungua. Na hakuna popote ccm walikuwa wanabalance kwani kizazi nacho kinabadilika. Huo wizi ni changamoto ambazo ziko kwenye mifumo yote, lakini uchaguzi uliopita chini ya yule kiongozi muovu, haikuwa wizi, wala kubance, bali ni siasa za kishenzi toka kwa mtu muovu. Na Mungu hadhihakiwi, kwa sasa yuko motoni.
 
YUKO SAWA SAWA...
ALISHASEMA CCM IKIFANYA UCHAGUZI WA HAKI ITAONDOKA MCHANA KWEUPE..
kama ni hivyo hili suala la chanjo wangesema ni lazima lkn kama ni hiyari basi polepole wa tume ya warioba yuko sawa
 
Tumeona Viongozi mbalimbali wakitumia hiari yao kuhamasisha watu wakachanjwe na wengine wamekua sehemu ya kuchanjwa kama kuonesha mfano.

Polepole Naye yupo na msimamo wake wa kutochanjwa na ameenda mbali akihimiza watu wazingatie vyakula na vilevile kahoji kwanini hii chanjo haioneshi muda sahihi wa kufanya kazi tofauti na chanjo zingine.

Polepole yupo sahihi, ikionesha tayari wakubwa zake ambao ni Rais na mwenyekit wake wanaipigia chapuo chanjo?

View attachment 1884923
Kimenuka Steve Nyerere na Humphrey Pole Pole..."Una Roho Mbaya na Matukio ya Ajabu"

Udaku Special / 48 minutes ago


[https://lh3]


WACHA NISEME LEO, Umekuwa MTU Mwenye roho mbaya na matukio ya ajabu kwenye chama na mnje ya chama mnyanyasaji na Mwenye kujua kila kitu, Leo wewe ni kiongozi haimanishi upo Sekta gani lakini ulitakiwa kulinda heshima yako Uliyoaminiwa na HAYATI JOHN POMB0 MAGUFURI, ULitawakiwa kulinda heshima hiyo lakini kila kukicha Umekuwa kituko kwa jamii na kutufanya kuamini kweli hapa hatukuwahi kuwa na Mwenezi ndani ya chama, Ngoja nikukumbushe Tu broo Uliwahi nitamkia Hadharani uwanja wa Taifa mkiwa mnaandaa Tamasha la kutambulisha nyimbo za KAMPENI nikakufata kukwambia kuna Group la MGOMBEA MWENZA YANI MH SAMIA SULUHU HASSAN, LINAITWA MAMA ONGEA NA MWANAO, majibu uliyonipa yalinifanya nijue kabisa hapa Hatuitajiki na wala umtambui mgombea Mwenza, Nanukuu STEVEN ILO GROUP LAKO UNAJISUMBUA TU MAMA HAPIGIWI KURA WALA HANA BAJETI YA WASANII HANA NA HATUKUWEKA MAANA HATUONI KAMA KUNA UMUHIMU KAMA UNAWEZA KABADILI JINA LA MAMA ONGEA NA MWANAO, LIWE JINA LINGINE AMBALO LITAMWOMBEA KURA MH MAGUFURI, KABADILI UKIPATA JINA NITAFUTE, NA MNAWEZA KULIPA JINA LINGINE, Nikatoka nikiwa mnyonge sana sikutaka kuamini hiki ninacho jibiwa na kiongozi wangu tena mwenezi wa chama kweli mama hana bajeti nilishangaa sana, na akafika mbali badilisha jina achana na mama, na bahati nzuri wakati anasema maneno hayo sikuwa peke yangu pembeni nilikuwa na MH BABU TALE, tulijikuta tunasema kazi tunayo,Sikukata tamaa nikasema niendelee kuwa mjinga kwako tukawa tumeandaa Tamasha kubwa la MAMA ONGEA NA MWANAO Ukasema ulitambui na huoni umuhimu na umesha toa maagizo na mapendekezo yako kuwa mama hana bajeti, Na wala haina haja ya kutumia nguvu uko kwa mama maana yeye hapigiwi kura, nikasema sawa mkuu, Ikabidi niwaite wenzangu kuwambia jamani hapa tunaambiwa kubadili jina la mama ongea na mwanao na kuulita baba kasema, mnaonaje ila mimi binafsi sidhani kama sawa nimeona niwashirikishe, hakuna aliye kubali wote walikataa wakasema hapana basi tukajikuta tunapitia wakati mgumu sana kudili na MGOMBEA MWENZA, NA KUNA MUDA ULIWAHI KUNIPIGIA NA KUSEMA NAKUONA GROUP LINAZUNGUKA NA MAMA HELA UMEPATA WAPI NA MIMI NILIKWAMBIA UYO HANA BAJETI, UKANIKALIPIA SANA SANA NA VITISHO JUU


Haikuishia hapo, Nilipambana kwa Rafiki zangu nikapata basi 2 na FEDHA ya kupeleka wasanii Dodoma wakati nakupigia ukanijibu, STEVEN NIMESHA KWAMBIA HILO GROUP LA MGOMBEA MWENZA YANI SAMIA SULUHU HASSAN HALINA BAJETI HATA YEYE HANA BAJETI UNAANGAIKA BULE, Nikakujibu sawa mkuu lakini lazima wawepo Dodoma mimi najua hela ntapata wapi ila lazima wawepo ukanikatia simu, Nilipambana MPAKA nikafanikiwa kuwa na kila kitu yani FEDHA, NA MARADHI YA WASANII, LIKAJA swala la kutambulisha vikundi pale Juu nakumbuka ulifatwa na kuambiwa kuna kundi la MGOMBEA MWENZA LINAITWA MAMA ONGEA NA MWANAO, UKAMJIBU MTU YULE ULITAMBUI, Nikacheka sana bahati nzuri wapo viongozi ambao tunaheshimiana kwa kiasi kikubwa na wanajua na waelewa wakaniambia STEVE TULIA GROUP LITAPANDA HAPO NA MNTAFANYA KILE MLICHO PANGA, wakati amepewa maelekezo ya group kwa aibu akaja kusema nimeamua kuwapa dakika 2 pale ndipo Msanii wangu HAMISA MOBETO, alipomnyakula Maiki na kumwambia unazingua sana akabaki anashangaaa kwahiyo niseme na mengi sana kwenye hili ila muhimu mwenezi mstafu muheshimu Mwenyekiti wa chama chako, HESHIMU KITI CHA URAIS, HESHIMU HESHIMU HESHIMU MAANA NAKUSHANGAA UNAVO TUMIA NGUVU NYINGI KUMPINGA MH RAIS UPANDE WA CHANJO UNASAHAU SIO LADHIMA KUCHANJA NI HIYARI, LAKINI USIWE CHOCHEZI KWA WENGINE, KAMA HUCHANJI WEWE NI WEWE, SO HAKUNA ASIYEJUA KUWA WEWE UMKUBALI MWENYEKITI NA HUTAKI KUAMINI NDIO RAIS WAKO BASI UNGENYAMAZA KIMYA KWA KIFUPI UNGECHUTAMA, NA KAMA UNATUMIKA USISAHAU UNAPOTEZWA UTAKUJA JIKUTA UNABAKI PEKE YAKO SIKU YA MWISHO, NA KIKUBWA UYU UNAYE MPINGA LEO NDIE ALIYE SEMA YAZAMANI SI NDWELE TUGANGE YAJAO, AKIAMUA KUFUNGUA KITABU CHAKO NAHAKIKA HATA LILE SWALA LA KUCHUKUA HELA KWA WAGOMBEA, NA WENGINE KUTONGOZWA KWA KUWAMBIA WATAPATA VITI MAALUMU KUNA MENGI BROOO UNGENYAMAZA TU....
 
Kuzudiwa hakuna matokeo ya siku moja, bali muda unavyokwenda. Na hilo lilikuwa dhahiri kuwa kadiri siku zinavyokwenda wapinzani walikuwa wanaongezeka na sio kupungua. Na hakuna popote ccm walikuwa wanabalance kwani kizazi nacho kinabadilika. Huo wizi ni changamoto ambazo ziko kwenye mifumo yote, lakini uchaguzi uliopita chini ya yule kiongozi muovu, haikuwa wizi, wala kubance, bali ni siasa za kishenzi toka kwa mtu muovu. Na Mungu hadhihakiwi, kwa sasa yuko motoni.
Issue ya ccm sio wizi tu bali ccm ndio imeshika dola na inatumia hiyo dola kuendelea kuwa pale madarakani, na hivyo ndio imekuwa chaguzi zote mazingira ya uchaguzi yapo hivyo sasa katika mazingira kama hayo kila kitu wameshika wao sasa wewe hapo unaona kulikuwa na uchaguzi katika mazingira hayo au ni kuhalalisha tu ccm kuendelea kutawala kwa kudanganya na huo uchaguzi?
 
Tumeona Viongozi mbalimbali wakitumia hiari yao kuhamasisha watu wakachanjwe na wengine wamekua sehemu ya kuchanjwa kama kuonesha mfano.

Polepole Naye yupo na msimamo wake wa kutochanjwa na ameenda mbali akihimiza watu wazingatie vyakula na vilevile kahoji kwanini hii chanjo haioneshi muda sahihi wa kufanya kazi tofauti na chanjo zingine.

Polepole yupo sahihi, ikionesha tayari wakubwa zake ambao ni Rais na mwenyekit wake wanaipigia chapuo chanjo?

View attachment 1884923
Kosa gani kutoa maoni kwa kitu ambacho ni hiari?
 
Rais Samia awashughulikie hao kenge haraka ni wahujumu wa wazi kwa jitihada zake, awaweke pembeni kabisa na utawala wake na wala haiwezi kuwa nongwa maana hata Magufuli alifanya hivyo kwa baadhi ya wana CCM wenzake mfano ni Membe.
Unaweza kukuta na wewe unajiita mwanademokrasia!
 
Issue ya ccm sio wizi tu bali ccm ndio imeshika dola na inatumia hiyo dola kuendelea kuwa pale madarakani, na hivyo ndio imekuwa chaguzi zote mazingira ya uchaguzi yapo hivyo sasa katika mazingira kama hayo kila kitu wameshika wao sasa wewe hapo unaona kulikuwa na uchaguzi katika mazingira hayo au ni kuhalalisha tu ccm kuendelea kutawala kwa kudanganya na huo uchaguzi?

Ni kweli ndio walioshika dola, lakini wapinzani waliendelea kuongezeka tena kwa kasi, na wala ccm haikuwa wanafanya kwa lengo la kubalance bali ndio uhalisia. Kilichofanyika uchaguzi wa 2020 ni ulevi wa madaraka, toka kwa kiongozi muovu.
 
Mama Samia sio dikteta ila analazimika kuwa na matendo ya kidikteta kutokana na wapuuzi kama kina Polepole na CHADEMA. Ikumbukwe Rais ni mwanamke kwahiyo kwa vyovyote ana hisia kwamba anadharauliwa kwa sababu ya uanamke wake hivyo atahakikisha anawaonyesha HATA WANAWAKE WANAWEZA BILA KUWEZESHWA. Udikteta wake utakuwa mbaya zaidi. Kabla ya Mbowe kukamatwa tuliona na kusikia maneno ya kejeli sana kwa Rais na wenye busara tulivyojaribu kuwaonya CHADEMA hawakusikia. Hata huyu Polepole tumwehesabie tu siku lazima limkute jambo. Ubaya ni staili ya mama kutoa kichapo kimyakimya. Rais wa Tanzania ni kiongozi mwenye nguvu zisizoelezeka kikatiba. Ubaya zaidi bado ni mwenyekiti wa CCM. Ana namna nyingi za kumpa kichapo Polepole.
 
Kimenuka Steve Nyerere na Humphrey Pole Pole..."Una Roho Mbaya na Matukio ya Ajabu"

Udaku Special / 48 minutes ago


[https://lh3]


WACHA NISEME LEO, Umekuwa MTU Mwenye roho mbaya na matukio ya ajabu kwenye chama na mnje ya chama mnyanyasaji na Mwenye kujua kila kitu, Leo wewe ni kiongozi haimanishi upo Sekta gani lakini ulitakiwa kulinda heshima yako Uliyoaminiwa na HAYATI JOHN POMB0 MAGUFURI, ULitawakiwa kulinda heshima hiyo lakini kila kukicha Umekuwa kituko kwa jamii na kutufanya kuamini kweli hapa hatukuwahi kuwa na Mwenezi ndani ya chama, Ngoja nikukumbushe Tu broo Uliwahi nitamkia Hadharani uwanja wa Taifa mkiwa mnaandaa Tamasha la kutambulisha nyimbo za KAMPENI nikakufata kukwambia kuna Group la MGOMBEA MWENZA YANI MH SAMIA SULUHU HASSAN, LINAITWA MAMA ONGEA NA MWANAO, majibu uliyonipa yalinifanya nijue kabisa hapa Hatuitajiki na wala umtambui mgombea Mwenza, Nanukuu STEVEN ILO GROUP LAKO UNAJISUMBUA TU MAMA HAPIGIWI KURA WALA HANA BAJETI YA WASANII HANA NA HATUKUWEKA MAANA HATUONI KAMA KUNA UMUHIMU KAMA UNAWEZA KABADILI JINA LA MAMA ONGEA NA MWANAO, LIWE JINA LINGINE AMBALO LITAMWOMBEA KURA MH MAGUFURI, KABADILI UKIPATA JINA NITAFUTE, NA MNAWEZA KULIPA JINA LINGINE, Nikatoka nikiwa mnyonge sana sikutaka kuamini hiki ninacho jibiwa na kiongozi wangu tena mwenezi wa chama kweli mama hana bajeti nilishangaa sana, na akafika mbali badilisha jina achana na mama, na bahati nzuri wakati anasema maneno hayo sikuwa peke yangu pembeni nilikuwa na MH BABU TALE, tulijikuta tunasema kazi tunayo,Sikukata tamaa nikasema niendelee kuwa mjinga kwako tukawa tumeandaa Tamasha kubwa la MAMA ONGEA NA MWANAO Ukasema ulitambui na huoni umuhimu na umesha toa maagizo na mapendekezo yako kuwa mama hana bajeti, Na wala haina haja ya kutumia nguvu uko kwa mama maana yeye hapigiwi kura, nikasema sawa mkuu, Ikabidi niwaite wenzangu kuwambia jamani hapa tunaambiwa kubadili jina la mama ongea na mwanao na kuulita baba kasema, mnaonaje ila mimi binafsi sidhani kama sawa nimeona niwashirikishe, hakuna aliye kubali wote walikataa wakasema hapana basi tukajikuta tunapitia wakati mgumu sana kudili na MGOMBEA MWENZA, NA KUNA MUDA ULIWAHI KUNIPIGIA NA KUSEMA NAKUONA GROUP LINAZUNGUKA NA MAMA HELA UMEPATA WAPI NA MIMI NILIKWAMBIA UYO HANA BAJETI, UKANIKALIPIA SANA SANA NA VITISHO JUU


Haikuishia hapo, Nilipambana kwa Rafiki zangu nikapata basi 2 na FEDHA ya kupeleka wasanii Dodoma wakati nakupigia ukanijibu, STEVEN NIMESHA KWAMBIA HILO GROUP LA MGOMBEA MWENZA YANI SAMIA SULUHU HASSAN HALINA BAJETI HATA YEYE HANA BAJETI UNAANGAIKA BULE, Nikakujibu sawa mkuu lakini lazima wawepo Dodoma mimi najua hela ntapata wapi ila lazima wawepo ukanikatia simu, Nilipambana MPAKA nikafanikiwa kuwa na kila kitu yani FEDHA, NA MARADHI YA WASANII, LIKAJA swala la kutambulisha vikundi pale Juu nakumbuka ulifatwa na kuambiwa kuna kundi la MGOMBEA MWENZA LINAITWA MAMA ONGEA NA MWANAO, UKAMJIBU MTU YULE ULITAMBUI, Nikacheka sana bahati nzuri wapo viongozi ambao tunaheshimiana kwa kiasi kikubwa na wanajua na waelewa wakaniambia STEVE TULIA GROUP LITAPANDA HAPO NA MNTAFANYA KILE MLICHO PANGA, wakati amepewa maelekezo ya group kwa aibu akaja kusema nimeamua kuwapa dakika 2 pale ndipo Msanii wangu HAMISA MOBETO, alipomnyakula Maiki na kumwambia unazingua sana akabaki anashangaaa kwahiyo niseme na mengi sana kwenye hili ila muhimu mwenezi mstafu muheshimu Mwenyekiti wa chama chako, HESHIMU KITI CHA URAIS, HESHIMU HESHIMU HESHIMU MAANA NAKUSHANGAA UNAVO TUMIA NGUVU NYINGI KUMPINGA MH RAIS UPANDE WA CHANJO UNASAHAU SIO LADHIMA KUCHANJA NI HIYARI, LAKINI USIWE CHOCHEZI KWA WENGINE, KAMA HUCHANJI WEWE NI WEWE, SO HAKUNA ASIYEJUA KUWA WEWE UMKUBALI MWENYEKITI NA HUTAKI KUAMINI NDIO RAIS WAKO BASI UNGENYAMAZA KIMYA KWA KIFUPI UNGECHUTAMA, NA KAMA UNATUMIKA USISAHAU UNAPOTEZWA UTAKUJA JIKUTA UNABAKI PEKE YAKO SIKU YA MWISHO, NA KIKUBWA UYU UNAYE MPINGA LEO NDIE ALIYE SEMA YAZAMANI SI NDWELE TUGANGE YAJAO, AKIAMUA KUFUNGUA KITABU CHAKO NAHAKIKA HATA LILE SWALA LA KUCHUKUA HELA KWA WAGOMBEA, NA WENGINE KUTONGOZWA KWA KUWAMBIA WATAPATA VITI MAALUMU KUNA MENGI BROOO UNGENYAMAZA TU....
Tatzo lenu mkuu Ni hlo mtu akitoa maoni yake binafsi mnaleta mambo yenu binafsi, mkuu mbna wanaopiga kampeni za kuchomwa hawana tatzo?? Kwa hyo mtu akisema tu kuwa hachanjwa limekuwa kosaaa?? Hayo mambo yenu ya kimanara tutolee hapa mkuu
 
Back
Top Bottom