Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Hivi huyu nae bado anawasumbua? Naona sasa kaamua kufufua kale kataasisi kake pale makumbusho atakatishe kipato.Tumeona Viongozi mbalimbali wakitumia hiari yao kuhamasisha watu wakachanjwe na wengine wamekua sehemu ya kuchanjwa kama kuonesha mfano.
Polepole Naye yupo na msimamo wake wa kutochanjwa na ameenda mbali akihimiza watu wazingatie vyakula na vilevile kahoji kwanini hii chanjo haioneshi muda sahihi wa kufanya kazi tofauti na chanjo zingine.
Polepole yupo sahihi, ikionesha tayari wakubwa zake ambao ni Rais na mwenyekit wake wanaipigia chapuo chanjo?View attachment 1883817
View attachment 1883818