GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa maelezo yake, anaweza kuchimba hata zaidi ya futi 150 kwenda chini, lakini mimi sikihitaji kirefu kiasi hicho. Naamini maji yapo umbali usiozidi futi 30 chini ya ardhi.Futi 250 !!!? Hiyo hapana, chukulia futi 40 ni sawa na mlingoti wa umeme au container lile kubwa .
Sasa pima kwenda chini, kwa jinsi walivyochimba kwangu na uzoefu nilioupata uwezekano wa kawaida kuchimba bila kuhitaji nyongeza ya HEWA ni futi 80.
2. Kuhusu kuongeza urefu wa kisima baada ya kukichimba, hiyo inategemea na namna kisima kilivyochimbwa na kudizainiwa.Ni sahihi kuchimba kisima cha maji kipindi cha mvua?
Sikuwa na mpango wa kukichimba muda huu, lakini mtu anayelihudumia shamba langu kwa sasa kaniambia anaweza kukichimba kwa bei nafuu hadi ayakute maji. Nilipomwambia kuwa visima vianvyochimbwa nyakati za mvua zinaweza kuishiwa maji wakati wa kiangazi, kajibu kuwa hilo likitokea, atakifukua tena hadi ayakute maji.
Kwa wenye uzoefu, nini ushauri wenu?
1. Ni kweli kuwa kisima kichimbwacho kwa mikono nyakati za mvua zina uwezekano wa kuishiwa maji wakati wa kiangazi?
2. Ikiwa kisima kitakaukiwa maji wakati wa kiangazi, kuna uwezekano wa kupata maji endapo kitafukuliwa zaidi kwenda chini?
Asanteni🙏🙏🙏