Wanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
MTu unaweza kumiliki gari lkn lodge huwezi kulipia?Ukiona gari limepaki halafu linanesanesa usidhani linasukumwa na upepo kama bendera bali fahamu kuwa watu wapo shughulini
Ni mambo yenu lakini ni uchafu mkubwa.Kwanza kabisa, hakuna mkosi wowote wa kula mzigo kwenye gari, kikubwa gari iwe na tinted ili kulinda faragha. Tuache mawazo ya kishirikina. Ajali zinatokea kila siku na hazina uhusiano wowote na ngono kwenye gari.
Pili, sio kweli kwamba wanaokula mzigo kwenye gari hawana hela ya lodge. Kuna raha yake kula mzigo kwenye gari! Ni sawa useme wanaoenda kuangalia mpira bar hawana tv nyumbani.
Tatu, watanzania tujifunze kufuata mambo yetu, tuachane na mambo yasiyotuhusu! Asilimia 90 ya wabongo wakiona gari inatikisika lazima wakachungulie wanataka kuona ni nini kinaendelea humo ndani! Yanakuhusu? Jifunze kufuata mambo yako..!!
Asanteni.
Ona huyu naeDHAMBI YA ZINAA NI MAUTI.
YESU NI MFANO BORA ALIEFANIKIWA KWA KUTUFUNDISHA KWAMBA MWILI NI HEKALU LA ROHO MTAKATIFU.
ZINAA HULETA GUNDU NA UMASIKINI MKALI
Inawezekana Kibobori anachimbachimbaGari limepaki mahali ila linanesa nesa , kulikoni! Au linapunga upepo?
Hayo yote hata kitandani yanatokea kwahiyo hakuna cha ajabu. Inaakuaje kwenye gari uite ni uchafu halafu chumbani sio uchafu? Gari ni yangu na nikimaliza shughuli zangu nasafisha vizuri sawa na ninavyoaafisha chumba, tatizo liko wapi? Fuateni mambo yenu tuacheni. Asante.Ni mambo yenu lakini ni uchafu mkubwa.
Kwenye sex kuna mengi, unaweza kumpa mtoto wa watu kitu kitamu akakojoa kupitiliza na kulowanisha sehemu kubwa ...huu ni uchafu.
Pili gari halina miundombinu mizuri kwa usafi.
Tuache ujinga huu
Sawa, tombane..ni salamaHayo yote hata kitandani yanatokea kwahiyo hakuna cha ajabu. Inaakuaje kwenye gari uite ni uchafu halafu chumbani sio uchafu? Gari ni yangu na nikimaliza shughuli zangu nasafisha vizuri sawa na ninavyoaafisha chumba, tatizo liko wapi? Fuateni mambo yenu tuacheni. Asante.