Ni sahihi kufanya vikao vya kiutendaji kabla ya kuapishwa, nchini Marekani?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Rais mteule wa Marekani Donald Trump, bado kuapishwa kwa ajili ya kuanza kazi yake ya urais katika nchi hiyo; lakini kuna vikao huwa vinafanyika kati ya yeye na viongozi mbali mbali kutoka nchi tofauti tofauti, kuhusu maazimio ya kiutendaji wa nchi hizo na Marekani.

Swali langu, ni sahihi kufanya vikao hivyo kabla ya kuapishwa? Je na kwa nchi zingine huwa iko hivyo?
 
Amerika sii bongi na bongo sii amerika
 
Katiba na taratibu zao zinaruhusu,ndio maana kwasasa Trump anapewa briefings zote za Usalama wa Marekani na Dunia kwa ujumla sawa anazopewa Rais Biden.
Marais wastaafu wote wa US hupewa briefings za usalama japo sio kwa asilimia mia,
Mfano hata Obama anapewa briefing pia.
 
Kuhapishwa ? Ni kuapishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…