Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Kumbuka hapo napiga mke wa mtu maana sina mke..Hahaha, ukishaweka hiyo alama mwingine akamlipa akajipigia alama zipo pale pale kwani kuna tatizo?
Sawasawa kabisa.
Na wote wana alama, Kama chama cha siasa vile.
Prioroties ni tofauti. Wengine wanachotaka ni kupiga bao zao wakafanye shughuli zingine.
Ukinyimwa nguvu unapewa mbio.Ninachotaka ni access juu yake maana pesa huisha na kututesa wanaume ile mbaya.
Nashukuru kwa silaha niliyopewa maana haiishi namove nayo kila mkoa.
Na nikipita naacha lawama tu.
Unadhani kila mtu anajali kuziba pengo basi?Hujamsikia Ney kwenye bachela?
Na ukimpata niliemwacha huzibi pengo..
Unadhani sababu halijazibwa hatoi kwa vijana wa hovyo?Mwanzoni mwa mwaka huu nilikuwa na EX wa mwamba japo sio kingono wala nini lakini katika appearance tu ni hivi Ney kaacha pengo kubwa kwa huyu sista wangu yaani.
Malaya si ni malaya tu, hata kama kaolewa.Kumbuka hapo napiga mke wa mtu maana sina mke..
Remember dat..
Ndio maana baada ya seleka zote wanamrudia aliyeacha pengo..Ukinyimwa nguvu unapewa mbio.
Unadhani kila mtu anajali kuziba pengo basi?
Unadhani sababu halijazibwa hatoi kwa vijana wa hovyo?
Halafu hawaachi kugawa pia hata baada ya pengo kuzibwa sababu wanapenda pesaaaa.Ndio maana baada ya seleka zote wanamrudia aliyeacha pengo..
Mimi hapo kwenye kupima naona wote wanaingilika tu so sina ile kutofautisha mkuuMalaya si ni malaya tu, hata kama kaolewa.
Malaya ni wengi sana mkuu. Ila wanawake waadilifu wapo, mume ana kisukari na mama wa watu anamtunza wala hujawahi sikia akikitembeza.Mimi hapo kwenye kupima naona wote wanaingilika tu so sina ile kutofautisha mkuu
Shida ni kwamba wewe unatoa pesa mimi ya kwangu nabaki nayo najitunzaHalafu hawaachi kugawa pia hata baada ya pengo kuzibwa sababu wanapenda pesaaaa.
She is decsent untill the secrects are patched by your eyesMalaya ni wengi sana mkuu. Ila wanawake waadilifu wapo, mume ana kisukari na mama wa watu anamtunza wala hujawahi sikia akikitembeza.
Unajua kwanini mwanaume anatoa pesa? Hataki kuliliwa, sijui kuacha alama. Anataka kumwingilia kwa malipo baasi.Shida ni kwamba wewe unatoa pesa mimi ya kwangu nabaki nayo najitunza
Ni vile sina tu tabia ya kula pesa zao ningewaumiza sana hawa mamaza..
Hizi ni curiosity tu za ujana. Ukishafika 50's na mwanamke wako ni mtu mzima na hajaonyesha dalili za umalaya hutozijali.She is decsent untill the secrects are patched by your eyes
Hapo ndio mnajiokotea point etiUnajua kwanini mwanaume anatoa pesa? Hataki kuliliwa, sijui kuacha alama. Anataka kumwingilia kwa malipo baasi.
Sasa mfano mm na umri wangu huu na hawa vijana wakubwa, nitake kuacha alama kwa mwanamke ya nini zaidi ya starehe ya muda mfupi?
Ninalea watoto wa namna hiyo mapacha. Lakini sijawahi kumwona baba yao wala watoto tangu kuzaliwa hawajawahi mwona baba yao.Habar Wana JF!
Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.
Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.
Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.
Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Kwan mada inahusu nini mkuu?Hizi ni curiosity tu za ujana. Ukishafika 50's na mwanamke wako ni mtu mzima na hajaonyesha dalili za umalaya hutozijali.
Halafu mkuu, tunaaribu mada ya watu. Tumetoka nje kabisa ya mada.
Hahaha.Kwan mada inahusu nini mkuu?
Si malaya alizaa halafu mkulungwa akayakanyaga akaoa kwa kuwekeana masharti na malaya akidhani wana ufikiri sawa??
Hahaha, no comment boss.Malaya kamisi vya uvunguni kwa muhuni anatumia kichaka cha mtoto kwenda kuliwa na muhuni.
Kaona kule atakuwa anabanwa na mke mwenzie na wakati ana kwake so anataka ahamishie mechi kwake kwa kigezo cha kuleta mtoto..
Si ni hivyo au kuna kingine Tsh ?
Hivi vijana wanaijua tafsiri ya kuoa lakini?Hahaha.
Hahaha, no comment boss.
Mkuu wewe una mtoto au watoto?Mtoto wa Miaka mi 5 ni mkubwa sana anaweza kujitegemea usimchukue
Binafsi ninachoona, kuoa haina faida sana ujanani, ina faida zaidi uzeeni kuliko ujanani.Hivi vijana wanaijua tafsiri ya kuoa lakini?
Hebu mkuu naomba unipe tafsiri ya kuoa kwanza kwa faida ya wengi humu..
Mkuu Baba mtoto Hatoyama matunzo ya mtoto ata siku moja kwasababu mtoto atakua sehemu salama.Mpaka uwe na roho nzuri au ni Mchamungu! Kama wewe una roho nzuri au ni Mchamungu unaweza kumlea ili mradi baba yake awe analeta matunzo!
Lakini kama una roho mbaya,toa pesa ya matunzo ya mtoto tu lakini usioe!
Itoshe kusema hivi mwanaume anatakiwa aoe akiwa na miaka 32 and above na aoe mwanamke aliyemzidi tofauti ya miaka kumi mpaka kumi na tano over.Binafsi ninachoona, kuoa haina faida sana ujanani, ina faida zaidi uzeeni kuliko ujanani.
Unapooa kuna milango unamfungia mwanamke, sasa kuhakikisha hiyo milango haifunguki ni mtihani kidogo.
Ila mara nyingi, kadri miaka inavyokwenda, ndivyo umuhimu wa hiyo ndoa unavyoonekana na kuongezeka na ndivyo ugumu wa kuachana unavyoongezeka kutegemeana na aina ya mke uliye naye.