Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Sasa tatizo ni nini kama kipato kipo na umemtaka mama yenye mtoto? Weka ndani, muongezee watoto wengine wa4, lea.

Akileta umalaya wake mtreat kama malaya wanavyo stahili kufanywa na watoto wajue kabisa kuwa mama yao malaya tu ndo maana wameshindwana na mzee.

Akijiheshimu mpe heshima yake kama mwanamke. Sisi ni wanaume, kuumbwa mwanaume ni bonge moja la zawadi, option zipo kibao, sioni sababu ya kujifungia ndani ya box.
Siyo kirahisi hivyo mkuu. Makosa mengi kwenye mahusiani huingilia kwenye ubinaadam.
Huyo ni mtoto wa watu, wenye mtoto utawapa access ya kuanza kuja kwako, na bonds zitaendelea wakiwa lolote kwao mke wako lazima aende sababu mtoto wako pia atatakiwa kwenda.
Kumbuka baba wa mtoto hajasema kashindwa kulea, hivyo akitaka kumuona mtoto wake itabidi wewe na mke wako muamze kupangiana zamu ya kumpelekea mtoto wake, na kwakuwa nyumbani tayari mahusiani ya digi na mke wa jamaa yatakiwa yameshaingia doa, itabidi muwe mnampelekea mtoto wake sehemu atayowaelekezeni, kama ni beach au popote
 
Binadamu tuna utashi. Hakuna sababu ya kuwa fixed kama mti. Soma mazingira, ukiona kipato kipo, mama ana jielewa, umezaa nae watoto wengine, leo huyo uliyemkuta kama baba yake ni pimbi.

Siô binadamu tuu hata Mungu na mîungu haiwezi Kûtunza Watoto wa Kambo. Hiyo Ipo hivyo

Hayo Mengine ni huruma
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Siyo kirahisi hivyo mkuu. Makosa mengi kwenye mahusiani huingilia kwenye ubinaadam.
Huyo ni mtoto wa watu, wenye mtoto utawapa access ya kuanza kuja kwako, na bonds zitaendelea wakiwa lolote kwao mke wako lazima aende sababu mtoto wako pia atatakiwa kwenda.
Mkuu, huyo mtoto sio suprice. Umemkuta kabla hata hujaweka huyo mwanamke ndani na kuzaa nae. Ukishindwa kucontrol hiyo hali hata asipokuwa na mtoto wa nje hutamuweza kama ana umalaya ndani yake.
Kumbuka baba wa mtoto hajasema kashindwa kulea, hivyo akitaka kumuona mtoto wake itabidi wewe na mke wako muamze kupangiana zamu ya kumpelekea mtoto wake, na kwakuwa nyumbani tayari mahusiani ya digi na mke wa jamaa yatakiwa yameshaingia doa, itabidi muwe mnampelekea mtoto wake sehemu atayowaelekezeni, kama ni beach au popote
Kwanini iwe hivyo? Kwanini iwe mimi au mke? Hana ndugu upande wa baba akaja mchukua aende kumsalimia baba yake? Upande wa mama hakuna mtu, rafiki, shangazi, mjomba? Mbona ishu nyepesi nyepesi sana hizo kuziwekea utaratibu? Tena anaweza wala asikae akawasiliana na mama mtu bila hata baba kukataza. Mwanamke mwenyewe ndo akatengeneza mfumo wa mzazi mwenzake kumuona mwanae bila kuwasiliana na yeye.
 
Mkuu, huyo mtoto sio suprice. Umemkuta kabla hata hujaweka huyo mwanamke ndani na kuzaa nae. Ukishindwa kucontrol hiyo hali hata asipokuwa na mtoto wa nje hutamuweza kama ana umalaya ndani yake.
Wengi hudhani wanaweza ku control, na hivyo kujaribu kuwa waelewa na hapo hujikuta wamefanya kosa la kimkakati katika maisha yao.
Kwanini iwe hivyo? Kwanini iwe mimi au mke? Hana ndugu upande wa baba akaja mchukua aende kumsalimia baba yake? Upande wa mama hakuna mtu, rafiki, shangazi, mjomba? Mbona ishu nyepesi nyepesi sana hizo kuziwekea utaratibu? Tena anaweza wala asikae akawasiliana na mama mtu bila hata baba kukataza. Mwanamke mwenyewe ndo akatengeneza mfumo wa mzazi mwenzake kumuona mwanae bila kuwasiliana na yeye.
Chukulia ndugu anao ila wana mambo yao au kitendo cha mama mtoto kumchukua mtoto kwa sababu iliyotolewa huenda wame mind. Kwa kifupi chukulia hili swala ni la wewe na mke wako na baba wa mtoto kama mlivyoamua kulibeba. Hawa ndugundugu nao utawatuma mwisho wataanza 'kumnunulia mtoto pipi' mkija kustuka wameshamharibu au ndugu kaharibiwa.
Kuna mambo siku hizi ni magumu sana. Lazima tuwe strictly ili kuyakomesha.
 
Siô binadamu tuu hata Mungu na mîungu haiwezi Kûtunza Watoto wa Kambo. Hiyo Ipo hivyo

Hayo Mengine ni huruma
Miaka kama 10 iliyopita, Kuna kijana alinyang'anywa mpenzi aliyezaa nae watoto wa3 na jamaa yake wa karibu, jamaa alipata fursa kampuni ya madini akapata ukwasi pesa ikajaa hadi ikamwagika akaamua kutongoza mpenzi wa rafiki yake, akaoa, akamzalisha mtoto mwingine, akachukua watoto wote kapeleka nje. Sijui rafiki yake alimkosea nini, maana mpaka kesho analaani tu alichofanyiwa.

Hao ndo wanawake. Kaacha mwanaume aliyeanza nae mahusiano, kafata maisha mazuri na katulia tuli. Jamaa akitaka kuwasiliana na watoto wake kawekewa utaratibu kupitia mama mzazi wa mzazi mwenzie na ndo imetoka hiyo mpaka leo.
 
Wengi hudhani wanaweza ku control, na hivyo kujaribu kuwa waelewa na hapo hujikuta wamefanya kosa la kimkakati katika maisha yao.

Chukulia ndugu anao ila wana mambo yao au kitendo cha mama mtoto kumchukua mtoto kwa sababu iliyotolewa huenda wame mind. Kwa kifupi chukulia hili swala ni la wewe na mke wako na baba wa mtoto kama mlivyoamua kulibeba. Hawa ndugundugu nao utawatuma mwisho wataanza 'kumnunulia mtoto pipi' mkija kustuka wameshamharibu au ndugu kaharibiwa.
Mkuu, haya mambo hakikisha unajiweza kwa kipato. Atakuja hata shangazi kila wiki kupeleka watoto kwa baba yao na usishangae watoto wasitake kwenda kama baba yao yupo yupo tu. Umasikini ni mbaya mno.
 
Miaka kama 10 iliyopita, Kuna kijana alinyang'anywa mpenzi aliyezaa nae watoto wa3 na jamaa yake wa karibu, jamaa alipata fursa kampuni ya madini akapata ukwasi pesa ikajaa hadi ikamwagika akaamua kutongoza mpenzi wa rafiki yake, akaoa, akamzalisha mtoto mwingine, akachukua watoto wote kapeleka nje. Sijui rafiki yake alimkosea nini, maana mpaka kesho analaani tu alichofanyiwa.

Hao ndo wanawake. Kaacha mwanaume aliyeanza nae mahusiano, kafata maisha mazuri na katulia tuli. Jamaa akitaka kuwasiliana na watoto wake kawekewa utaratibu kupitia mama mzazi wa mzazi mwenzie na ndo imetoka hiyo mpaka leo.
HAKI haiongopi. Lazima itajibu

Wanawake Weng NI material orientated
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
HAKI haiongopi. Lazima itajibu

Wanawake Weng NI material orientated
Mambo yangekuwa mepesi hivi pasingekuwa na mahakama za kijamii kutetea wanaonyang'anywa haki za kuona watoto wao. Usishangae mpaka anazeeka na anakufa ndo imetoka hiyo.

Hii dunia hakuna Fomula. We soma mazingira ya jambo linalokusibu kisha litatue.

Kuna wimbo wa Prof Jay alioa mke kutoka kijiji, mke kaja kuharibikia mjini.
 
Heshimu makubaliano yenu ya mwanzo. Ukilegeza hapo utat.o.m.b.e.w.a na baba mtoto hapo hapo kwako. Kwakua atakuja kumuona mwanae na kumjulia khali hapo nyumbani.mwisho w cku utalea mtoto kiuoga oga kuogopa kukosea kisa mtoto wa kambo. Hv jiulize uko na uwezo wa kusomesha watoto wa MTU mwingine private school na wako kayumba. Ukigeuza upande watasema una mnyanyapaa tu.
All the best
Kama atakuwa na mazoea ya kwenda kumuona mwanae hapo ndio shida na mwisho wa siku jamaa sio kulea tu mtoto wa kambo bali atapata watoto wengine akidhani wa kwake
I'm just playing Devil's advocate
 
Binadamu tuna utashi. Hakuna sababu ya kuwa fixed na fomula. Soma mazingira, ukiona kipato kipo, mama ana jielewa, umezaa nae watoto wengine, lea huyo uliyemkuta kama baba yake ni pimbi.
When money has given ego to someone to the extent of feeling like he will posses money entirely.
There is life after bankrupcy and there comes some dirty shits when you deserve mercy.
Mkuu amka acha kuwaza kupitia hicho kibunda..
Unadhani umewazidi akili hao unaowaita wapuuzi walamba lips?
Kipi pesa? Wengine wanazo zaidi yako?
D*ck may be? No wengi wao wana over 5.5"
Acha kujitengenezea uspesho ambao utagundua too late kuwa they no longer value you acording to how you sacrificed for them.
Msiishi kwenye dunia ya kisasa yenye simu ambayo baba wa mtoto anatumiwa hadi picha ya kibumbu kwa kuitazama picha ya kale. Change and play accordingly, get updated daily bro.
Zamani ilikuwa ngumu maana ilihitaji kuwekeza pesa na muda mwingi ili kumsogelea EX wako sio sasa ambapo simu zipo.
Usiiongee kiwepesi tu kuwa unamtimua mama wa watoto wako unabaki na watoto.
Sio easy kama unavyotamka mkuu..
Ina maumivu mazito na sonona kali ndani yake..
Maana kwa nature ya sisi wanaume muda unavyozidi kusonga ndivyo tunawazoea na kujikuta hatujiwezi kwa wake zetu hata kama tuna tamaa zetu.
Lakini tukimzoea mwanamke tu huwa tunabond vibaya sana.
 
Mkuu, haya mambo hakikisha unajiweza kwa kipato. Atakuja hata shangazi kila wiki kupeleka watoto kwa baba yao na usishangae watoto wasitake kwenda kama baba yao yupo yupo tu. Umasikini ni mbaya mno.
Ndiyo maana inabidi kuyazuia, sababu ukiyaruhusu unakuwa umefungua mlango wa mawasiliani kati ya mke wako na baba mtoto wake.

wanawake wengine walivyo kwa kuwa tayari amesema yule mke wa baba mtoto wake amemtesea mtoto wake atataka atembee na ex wake ili kumkomoa yule mwanamke.

Ili kumpata njia rahisi ni yeye kumchukua mtoto hapo mawasiliani kati yao lazima yatarudi, lakini mtoto akiwa kwa baba yake huenda akimtafuta jamaa, jamaa anamwambia "nilishakueleza, kuhusu maswala ya mtoto uwe unawasiliana ma mke wangu ndiye anayekaa naye".

Majibu ya hivyo huwauma wanawake kwamba na huchukulia kuwa yule mwanamke anamzuia mwanaume kuongea naye na hapo visa huanza na mwanamke kujisahau kuwa tayari ana commitment nyingine.
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Shida iko wapi kumlea. Kinacholeta tatizo ni ubaguzi kwa huyo mtoto. Ukiwapenda sawa hakuna mgogoro. Usimruhusu huyo mtoto kukulia na kulelewa kwa mama wa kambo. Mke atapata sababu ya kutoka kisa anaenda kumsalimia mtoto. Yasije kuibuka mapya. Pia akimkuta mtoto kweli ananyanyaswa ipo siku atakosa uvumilivu watavurugana akaumia au akaumiza.
 
When money has given ego to someone to the extent of feeling like he will posses money entirely.
There is life after bankrupcy and there comes some dirty shits when you deserve mercy.
Mkuu amka acha kuwaza kupitia hicho kibunda..
Unadhani umewazidi akili hao unaowaita wapuuzi walamba lips?
Kipi pesa? Wengine wanazo zaidi yako?
D*ck may be? No wengi wao wana over 5.5"
Acha kujitengenezea uspesho ambao utagundua too late kuwa they no longer value you acording to how you sacrificed for them.
Msiishi kwenye dunia ya kisasa yenye simu ambayo baba wa mtoto anatumiwa hadi picha ya kibumbu.
Zamani ilikuwa ngumu maana ilihitaji kuwekeza pesa na muda mwingi ili kumsogelea EX wako sio sasa ambapo simu zipo.
Usiiongee kiwepesi tu kuwa unamtimua mama wa watoto wako unabaki na watoto.
Sio easy kama unavyotamka mkuu..
Ina maumivu mazito na sonona kali ndani yake..
Maana kwa nature ya sisi wanaume muda unavyozidi kusonga ndivyo tunawazoea na kujikuta hatujiwezi kwa wake zetu hata kama tuna tamaa zetu.
Lakini tukimzoea mwanamke tu huwa tunabond vibaya sana.
Pesa inakupa uhuru wa kufurahia zawadi ya maisha. Itafute mkuu, mkeo atakufumania atafunga mlango haraka haraka huku akisali isije ikawa umemuona. Pesa ni nzuri mkuu. Itafute utaona kama watoto wa kambo watakuumiza kichwa.
 
Pesa inakupa uhuru wa kufurahia zawadi ya maisha. Itafute mkuu, mkeo atakufumania atafunga mlango haraka haraka huku akisali isije ikawa umemuona. Pesa ni nzuri mkuu. Itafute utaona kama watoto wa kambo watakuumiza kichwa.
f445b93e-1608-4668-8b20-53e0fbf80ba9.jpeg
 
Mambo yangekuwa mepesi hivi pasingekuwa na mahakama za kijamii kutetea wanaonyang'anywa haki za kuona watoto wao. Usishangae mpaka anazeeka na anakufa ndo imetoka hiyo.

Hii dunia hakuna Fomula. We soma mazingira ya jambo linalokusibu kisha litatue.

Kuna wimbo wa Prof Jay alioa mke kutoka kijiji, mke kaja kuharibikia mjini.

Mengine huwa Malipo
Kwa sehemu kûbwa Maisha ya binadamu wengi wanaishi Kwa kulipia gharama za Wazazi na mababu zào waliotangulia
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ndiyo maana inabidi kuyazuia, sababu ukiyaruhusu unakuwa umefungua mlango wa mawasiliani kati ya mke wako na baba mtoto wake.
Tunarudi pale pale mkuu. Mama watoto kama ni malaya ni malaya tu. Hata asipokuwa na mtoto wa nje, ukishaoa malaya we mkimbie.
Na wanawake wengine walivyo kwa kuwa tayari amesema yule mke wa baba mtoto wake amemtesea mtoto wake atataka atembee na ex wake ili kumkomoa yule mwanamke na ili kumpata njia rahisi ni yeye kumchukua mtoto hapo mawasiliani kati yao lazima yatarudi, lakini mtoto akiwa kwa baba yake huenda akimtafuta jamaa, jamaa anamwambia "nilishakueleza, kuhusu maswala ya mtoto uwe unawasiliana ma mke wangu ndiye anayekaa naye", majubu ya hivyo huwauma wanawake kwamba na huchukulia kuwa yule mwanamke anamzuia mwanaume kuongea naye na hapo visa huanza na mwanamke kujisahau kuwa tayari ana commitment nyingine
Anyway, binafsi huwa naamini umasikini ndo huletaga hizi complication. Ukiwa na kipato, umemzalisha mwanamke watoto wa kutosha, wote unawahudumia, mke ana maisha mazuri, unampa haki yake ya ndoa, na si mwanamke malaya, si rahisi kuangukia humo kwenye kugongwa hovyo. Hata kama ulimkuta na mtoto.
 
Back
Top Bottom