Dwalter
Member
- Apr 7, 2012
- 48
- 76
Duh. Ni ngumu. Lakini mimi nilishashuhudia kwa macho yangu mdada wa miaka 30+ alimnunulia baba yake mzazi boxer ambae alikuwa kalazwa hospitalini.
Ipo hivi nilikuwa na muuguza nugu yangu katika hospitali moja ambayo ina vyumba vyenye vitanda viwiliviwili katika room. Sasa huyu manzi akamleta baba yake mzazi na katika maongezi alifika hana nguo za kubadili. Binti akamwambia baba ake pumzika ntaenda mjini kukuletea afu kesho wakati ndugu wengine wanakuja wataleta nguo zilizopo home. Alitoka na aliporudi alikuja na nguo full yaani t shirt vest suruali malapa na BOXER. Mpaka leo hua najiuliza yule dem alipata wapi ujasiri wa kununua boxer kwa mzee wake. Mzee wake nakumbuka aliniambia tuu hawa ndio mabinti zetu wa siku hizi. Alikuwa around 60+
Ipo hivi nilikuwa na muuguza nugu yangu katika hospitali moja ambayo ina vyumba vyenye vitanda viwiliviwili katika room. Sasa huyu manzi akamleta baba yake mzazi na katika maongezi alifika hana nguo za kubadili. Binti akamwambia baba ake pumzika ntaenda mjini kukuletea afu kesho wakati ndugu wengine wanakuja wataleta nguo zilizopo home. Alitoka na aliporudi alikuja na nguo full yaani t shirt vest suruali malapa na BOXER. Mpaka leo hua najiuliza yule dem alipata wapi ujasiri wa kununua boxer kwa mzee wake. Mzee wake nakumbuka aliniambia tuu hawa ndio mabinti zetu wa siku hizi. Alikuwa around 60+