Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Habari wakuu?
Nilikuwa na wazo la kufungua biashara ya nguo wilayani Kahama, na changamoto niliyonayo ni usimamizi, na mimi pia nipo mbali na huo ukanda.
Nikiangalia haraka haraka kwenye databesi yangu, anayeweza kukaa huko na kusimamia hiyo biashara ni mchepuko wangu niliyezaa naye mtoto.
Kwa upande wake atanufaika kwa mshahara labda na mauzo yakiwa juu; ila umiliki unakuwa ni wa kwangu.
Hofu niliyonayo; je hawezi kuja kunizurumu au kunitapeli huko mbeleni; akijua kabisa hii biashara siyo ya kwake, bali anampambania mwanamke mwenzake aliyepo kwenye ndoa?
Karibuni kwa ushauri
Nilikuwa na wazo la kufungua biashara ya nguo wilayani Kahama, na changamoto niliyonayo ni usimamizi, na mimi pia nipo mbali na huo ukanda.
Nikiangalia haraka haraka kwenye databesi yangu, anayeweza kukaa huko na kusimamia hiyo biashara ni mchepuko wangu niliyezaa naye mtoto.
Kwa upande wake atanufaika kwa mshahara labda na mauzo yakiwa juu; ila umiliki unakuwa ni wa kwangu.
Hofu niliyonayo; je hawezi kuja kunizurumu au kunitapeli huko mbeleni; akijua kabisa hii biashara siyo ya kwake, bali anampambania mwanamke mwenzake aliyepo kwenye ndoa?
Karibuni kwa ushauri