Ni sahihi kumuajiri mwanamke uliyezaa naye kwenye biashara yako?

Ni sahihi kumuajiri mwanamke uliyezaa naye kwenye biashara yako?

Siyo mchepuko tu..Ni mama wa mtoto wake pia...

Nyie wanaume mna ka selfishness fulani..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo kuzaa nae ndo sio mchepuko??? Jamaa ana mke wake yeye hiyo biashara afanye kama amemzawadia huyo mchepuko...
 
Pamoja na hayo bado ataendelea kumpigia simu za usumbufu kumuomba hela za kusema mtoto anaumwa n.k

Atamwambia biashara haitoki na hadithi chungu nzima.

Tabu itakuwa palepale.
Kwa mwanamke anayejitambua sidhani, na hata zikipigwa haitokua sawa na kipind Akiwa na biashara na pesa anazo.

Wanawake wengine wakitimiziwa mahitaji yao hawana kelele kabisa, otherwise ananyege zake anahitaji uende ukamsugue.
 
Habari wakuu?

Nilikuwa na wazo la kufungua biashara ya nguo wilayani Kahama, na changamoto niliyonayo ni usimamizi, na mimi pia nipo mbali na huo ukanda. Nikiangalia haraka haraka kwenye databesi yangu, anayeweza kukaa huko na kusimamia hiyo biashara ni mchepuko wangu niliyezaa naye mtoto. Kwa upande wake atanufaika kwa mshahara labda na mauzo yakiwa juu; ila umiliki unakuwa ni wa kwangu.

Hofu niliyonayo; je hawezi kuja kunizurumu au kunitapeli huko mbeleni; akijua kabisa hii biashara siyo ya kwake, bali anampambania mwanamke mwenzake aliyepo kwenye ndoa?

Karibuni kwa ushauri
Huyo ni mke wako umemfungulia biashara acha kujidanganya,hakuna cha mchepuko
 
Kuzaa na mtu tayari ni mkeo?
ndiyo labda hujui maana ya mke, sema hauko tayari kuishi naye kwa sasa baada ya kumpata mwingine hata hivyo ni njinga tu ataamini mwanamke umezaa naye halafu unamfnya kuwa mfanyakazi wa kusimamia biashara yako halafu msije kupasha kiporo tena mmmmm kumbuka moto hupungua kwa kutoa kuni na huwa mkali kwa kusogeleana kuni pamoja
 
Back
Top Bottom