Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Anaonekana anamvuto kwa wenye pesa ndio maana walikuibia ukimfanya bamaid itakuwa poaKwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaonekana anamvuto kwa wenye pesa ndio maana walikuibia ukimfanya bamaid itakuwa poaKwa nini?
Kama hutaki wafahamu Basi wazo la kumfungulia biashara litakusaidia kupunguza kupigiwa Simu za kila Mara mtoto kameza shoka.
inahitajika pesa HARAKA apelekwe hospitali.
Nampenda sana mtoto; ila kwa sasa sitaki nyumbani wafahamu
Wazo nililokuwa nalo, baada ya kutengeneza faida ndipo aweze kufungua la kwakeKama uwezo upo mfungulie biashara bwana.
Kwa ushauri nilioupata humu, naona ni bora kama hali itaruhusu, awe na duka lake tu.Kama una uhakika kuwa hataleta shida kwenye ndoa yako na biashara yako mfungulie, kama una wasiwasi naye tafuta mtu mwingine ilimradi unamtimizia Mtoto wako mahitaji yake.
Ki vipi mkuu?labda km hiyo biashara ya kumuuza huyo ex wako apo sawa
Basi Fanya Kwa hisani ya damu yako usiangalie utapata faida au laah.Nami nafikiria hicho mkuu
Kweli mkuu, hapo ndipo shida ilipoInavyoelekea mke halali anajua hii pesa ya mtaji, hapa ndipo tatizo lilipo. Kama jamaa angekua na hela yake ya siri angefungua duka na akawa anatembelea maeneo hayo kukagua biashara na familia ndogo.
Itapendeza zaidi kila lakheri.Kwa ushauri nilioupata humu, naona ni bora kama hali itaruhusu, awe na duka lake tu.
Wanawake sijui kwa nini hampendanianaonekana anamvuto kwa wenye pesa ndio maana walikuibia ukimfanya bamaid itakuwa poa
Kwa sasa ana miaka 3; Ikiwezekana miaka minne ijayoMpaka lini ndio utapenda wafahamu?
Inaweza kuwa hivyo, ila umiliki utakuwa unasoma jina langu; na hiyo biashara itakuwa inafahamika nyumbani. Hapo sijajua kama ataweza kuvumilia kama muajiriwaMi nafikiri kwakua kuna mtoto, muweke wazi kabisa ni kwa ajili ya faida yenu na mtoto wenu, Hiyo itafanya asiwe na tamaa.
Tatizo, ninahofu ya kupoteza hela kwa kuwekeza ambapo patanipa hasarampe tu duka, watoa ushauri tupo...usisite kurudi mambo yakiwa sio
Utajilipa kwenye kTatizo, ninahofu ya kupoteza hela kwa kuwekeza ambapo patanipa hasara
ha ha ha ha unitakii mema mkuuutajilipa kwenye k
Unapunguza hasaraha ha ha ha unitakii mema mkuu
Siyo mchepuko tu..Ni mama wa mtoto wake pia...Kama huna kazi na hizo Hela bhasi kagawie ombaomba aisee ila Ukisema umpe mchepuko asimamie biashara ni biashara kichaaa yani utakuja kuliaaa vibaya sanaaa...!!
Ila ikifahamika hadi nyumbani jua itakuletea shida siku yyte. Pale mkeo atakapolazimika kutaka kufatilia mauzo au kuengage. Nakushauri kama unataka kumuweka isome jina lako lakin usiifamishe nyumbani.Inaweza kuwa hivyo, ila umiliki utakuwa unasoma jina langu; na hiyo biashara itakuwa inafahamika nyumbani. Hapo sijajua kama ataweza kuvumilia kama muajiriwa