Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Na doa yake itaingia matatizoni pia maana atatka na mkwewe amjue piaInawezekana, ila ni risk sana...
Kwanza ni vigumu kumrudi mara kwa mara pale anapoenda wrong
Pili, kama anaakili mbovu itadumaa hyo project
Tatu mkianza kukorofishana tu, ndio mwisho wa biashara
Uaminifu ndio changamoto, leo ametulia kesho anaweza kubadilikaTrust nobody
Wanakuja kukupa muongozo
Nashukuru kwa ushauriDon't take that risk.
Asipomuibia ajinufaishe mweyewe ataitwa fala.Kama huna kazi na hizo Hela bhasi kagawie ombaomba aisee ila Ukisema umpe mchepuko asimamie biashara ni biashara kichaaa yani utakuja kuliaaa vibaya sanaaa...!!
Hapo hakuna mpaka, as long as alisha "mpanda", lazima mahusiano yataingilia ufanisi wa biashara.Utaendelea kumpanda au mipaka itaishia kwenye biashara tu?
Yani lazima ajilipie mapema sanaaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Fala pekee ndo hatamuibiaaaAsipomuibia ajinufaishe mweyewe ataitwa fala.
Au nimuajiri na kijana mwingine, ambaye atakuwa anaripoti kwangu?Inawezekana, ila ni risk sana...
Kwanza ni vigumu kumrudi mara kwa mara pale anapoenda wrong
Pili, kama anaakili mbovu itadumaa hyo project
Tatu mkianza kukorofishana tu, ndio mwisho wa biashara
Kweli mkuu, ingawa malengo yangu kama ataweza kukaa mwaka na faida kuonekana, itakuwa vizuri zaidi akiwa na la kwake. Ingawa bi mkubwa hatojua kama nimemuajiri mpinzani wake.Akiwa mkarimu anaweza kufungua duka lake kupitia biashara yako na akakukabidhi duka lako. Akiwa jangili anafungua duka lake na wewe uta funga biashara kwa kupata hasara.
Hapa ndipo panaponiumiza kichwa sana; anaweza kutaka kujimilikisha kwa kigezo cha kuzaa naye, au akatumia njia za giza kufanya mapinduziNa doa yake itaingia matatizoni pia maana atatka na mkwewe amjue pia
Nampenda sana mtoto; ila kwa sasa sitaki nyumbani wafahamuKama unampenda mwanao,
Na Unaona KABISA akili au uzoefu wa baishara uyo mwanamke anao .
Basi Wee mfungulie tu,
Maana kuombwa ombwa Ela kill mara na mtu mwnyw yuko mbali na wewe Kuna KERO zake nyingi Sana tu mkuu.