Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana "strong army" likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?

Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana "strong army" likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?

Serikali ijuandae na bomu la hawa watu wenye wafuadi wengi mitandaoni ! Jana mm nikuwa nafuatilus hiyo michango....niliogopa ya Mamilioni yalikussnywa ndani ya muda mfupi!
Ila hata iweje huyu mtoto' anawafuadi! Kuna siku niliona wkisjangilua comment ya RAIS SAMIA kwenye Insta page yake wkimpongexs!...niidhie hapo😁
Basi huyu akijiunga Chadema atakuwa mtaji tosha, Tena agombee ubunge Jimbo la mtama
 
Ndio shida ya house girl kutembea na father house........
Anyway shamba la bwana heri na mbuzi ni WA bwana heri. Tumuachie bwana heri msala wake.
Ila watanzania tuamke. Mtu asituchangishe Tena kama mazuzu. Hii iwe mwisho
 
Kwamba hata Serikali inajua ana Strong Army with her???!!!. Hawa watu mashuhuri inapaswa wafundishwe somo la Emotional intelligence, kuna lugha huwa sio za kutumia, sio lugha za matusi ila zinaweza kukuingiza matatania ama watu wakaamua kukuonyesha kwamba hiyo strong army iliyonyuma yako ni zile army za keyboard warriors. Serikali unaweza ukaitukana lakini sio kuitishia, inaweza ikakuadabisha
 
Kosa alilofanya anaweza kuwekwa kizuizini kwa makosa ambayo ni non bailable akaishia kukaa ndani bila dhamana ni rahisi kuingia kwenye tuhuma za kutakatisha fedha kwahiyo asipige ngumi ukuta ni muda wa kuwa mtulivu.
 
Kiuhalisia huyu dada alikuwa na lengo la kujipatia Fedha, kawaida tu kwenye kundi la watu mkimteua mtu achangishe na akusanye pesa Huwa wanakataa, Sasa huyu kaamua mwenyewe alikuwa na lengo lake, na Nina uhakika nawajua watanzania, alikuwa apeleke kiasi , na kingine azuie, Haina tofauti na Mr. Mangulue
 
Kosa alilofanya anaweza kuwekwa kizuizini kwa makosa ambayo ni non bailable akaishia kukaa ndani bila dhamana ni rahisi kuingia kwenye tuhuma za kutakatisha fedha kwahiyo asipige ngumi ukuta ni muda wa kuwa mtulivu.
Nikikumbuka watu wenye influence kubwa, matajiri, wasanii walivyooneshwa jinsi serikali ilivyo haijaribiwi enzi za Jiwe , ndo nikajua Chezea vyote ila Sio sirikali
 
Serikali ijuandae na bomu la hawa watu wenye wafuadi wengi mitandaoni ! Jana mm nikuwa nafuatilus hiyo michango....niliogopa ya Mamilioni yalikussnywa ndani ya muda mfupi!
Ila hata iweje huyu mtoto' anawafuadi! Kuna siku niliona wkisjangilua comment ya RAIS SAMIA kwenye Insta page yake wkimpongexs!...niidhie hapo😁
Mkuu unatumia vidole vya mguu kuandika!!
Sorry lakini.
 
Je, Hawa wananchi ambao ni mastar na ma celebrities ambao pia ni wafanya biashara Wana uelewa wowote wa protokali za Kiserikali.

Nimeshangaa Mfanyabiashara mkubwa kabisa mwanamke mwenye mafanikio mengi akiwa amejijengea umaarufu mkubwa kupitia biashara zake, akitoa kauli tata inayoelekea kama ni kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye ni Raia namba tatu baada ya maelekezo mahususi ya kutakiwa kukamatwa kwa Niffer ambaye aliendesha zoezi la Michango Kwa maafa ya Kariakoo kinyume na Sheria ama bila kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu inayosimamia majanga na dharura za aina hiyo.

Unaweza Kusoma ujumbe wa Niffer kupitia mtandao wake wa kijamii hapa chini

Ila sio mbaya ana range tena plate namba ni jina lake, anamalizana nao cha msingi hasi waangushe MASHABIKI WAKE wanao muaminia.
 
Je, Hawa wananchi ambao ni mastar na ma celebrities ambao pia ni wafanya biashara Wana uelewa wowote wa protokali za Kiserikali.

Nimeshangaa Mfanyabiashara mkubwa kabisa mwanamke mwenye mafanikio mengi akiwa amejijengea umaarufu mkubwa kupitia biashara zake, akitoa kauli tata inayoelekea kama ni kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye ni Raia namba tatu baada ya maelekezo mahususi ya kutakiwa kukamatwa kwa Niffer ambaye aliendesha zoezi la Michango Kwa maafa ya Kariakoo kinyume na Sheria ama bila kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu inayosimamia majanga na dharura za aina hiyo.

Unaweza Kusoma ujumbe wa Niffer kupitia mtandao wake wa kijamii hapa chini

Labda alilenga kusema ana watu, but strong amry amekosea. Tuna jeshi moja tu nchi hii jeshi la wananchi wa tanzania
 
Back
Top Bottom