Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana "strong army" likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?

Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana "strong army" likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?

Je, Hawa wananchi ambao ni mastar na ma celebrities ambao pia ni wafanya biashara Wana uelewa wowote wa protokali za Kiserikali.

Nimeshangaa Mfanyabiashara mkubwa kabisa mwanamke mwenye mafanikio mengi akiwa amejijengea umaarufu mkubwa kupitia biashara zake, akitoa kauli tata inayoelekea kama ni kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye ni Raia namba tatu baada ya maelekezo mahususi ya kutakiwa kukamatwa kwa Niffer ambaye aliendesha zoezi la Michango Kwa maafa ya Kariakoo kinyume na Sheria ama bila kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu inayosimamia majanga na dharura za aina hiyo.

Unaweza Kusoma ujumbe wa Niffer kupitia mtandao wake wa kijamii hapa chini

Hajui dunia haiwapendi watu walionyooka. Anyway bado mtoto ataendelea kujifunza taratibu.
 
Je, Hawa wananchi ambao ni mastar na ma celebrities ambao pia ni wafanya biashara Wana uelewa wowote wa protokali za Kiserikali.

Nimeshangaa Mfanyabiashara mkubwa kabisa mwanamke mwenye mafanikio mengi akiwa amejijengea umaarufu mkubwa kupitia biashara zake, akitoa kauli tata inayoelekea kama ni kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye ni Raia namba tatu baada ya maelekezo mahususi ya kutakiwa kukamatwa kwa Niffer ambaye aliendesha zoezi la Michango Kwa maafa ya Kariakoo kinyume na Sheria ama bila kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu inayosimamia majanga na dharura za aina hiyo.

Unaweza Kusoma ujumbe wa Niffer kupitia mtandao wake wa kijamii hapa chini

Ana sifa za kijinga na kujitia mjuaji asiyekubali kushindwa. Ila akilala nyuma ya nondo soku moja tu atashika adabu. Ndiyo tatizo la mabinti wadogo lkn wanalea mzazi na wadogo zake basi anajikuta ni kibopa wa kila mtu kumbe ni familia yake.
 
Ndio shida ya house girl kutembea na father house........
Anyway shamba la bwana heri na mbuzi ni WA bwana heri. Tumuachie bwana heri msala wake.
Ila watanzania tuamke. Mtu asituchangishe Tena kama mazuzu. Hii iwe mwisho
Yaani siku hizi hakuna heshima kabisa kwa serikali ukilinganisha na zamani yaani kitoto kidogo kinaitunishia misuli serikali tena imagine kiongozi wa juu kabisa namba 3.
Hadi aibu naona mimi
 
hapana usimlishe maneno mkuu yy amesema ana strong army hajasema/andika kama ana strong God's army...kwamba huamini au? najaribu kuwaza kama ameweza kumjibu hivyo kiongozi mkuu wa nchi vp timbwili lake akikutana na mwananchi wa hali ya chini kama mimi si unatumiwa kikosi tu kikumalize sekunde,aise inatisha ,ila omba Mungu yasikukute kuna watu wana pesa na hayo aliyoyaongea siyo ya kupuuza
Sio bure kuna kanamna,confidence yake hata jinsi anavyowajibugi wafanyabiashara wenzake unajua tu kuwa kuna kitu nyuma ya pazia anakitegemea
 
Chalamila ndiyo anakula mzigo itakua,maana hata kwenye utetezi wake ana mtaja Chalamila kama reference yake ya kuvunja sheria kua chala alikua anajua kua anachangisha!! Sasa Chala mwenyewe yuko kimya!!
Kama anamtegemea mkuu wa mkoa kwenye ishu ya kitaifa anajidanganya,bado ana utoto mwingi hajajua uzito wa serikali aliufyata manji akawa na adabu atakuwa yeye nani
 
Je, Hawa wananchi ambao ni mastar na ma celebrities ambao pia ni wafanya biashara Wana uelewa wowote wa protokali za Kiserikali.

Nimeshangaa Mfanyabiashara mkubwa kabisa mwanamke mwenye mafanikio mengi akiwa amejijengea umaarufu mkubwa kupitia biashara zake, akitoa kauli tata inayoelekea kama ni kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye ni Raia namba tatu baada ya maelekezo mahususi ya kutakiwa kukamatwa kwa Niffer ambaye aliendesha zoezi la Michango Kwa maafa ya Kariakoo kinyume na Sheria ama bila kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu inayosimamia majanga na dharura za aina hiyo.

Unaweza Kusoma ujumbe wa Niffer kupitia mtandao wake wa kijamii hapa chini

Wakati mwingine mtu anaweza akakosa msamiati sahihi, akatumia msamiati usio sahihi.
 
Sipendi kuingilia hilo suala la huyo mwanamke kuchangisha pesa , pia nisingependa kujadili legality ya order ya PM ya kumkamata huyo dada lakini nachojua hiyo anatembeza mbunye kwa watu wenye nguvu pia Majaliwa hajawahi hata siku moja kutoa amri ikatekelezwa haijawahi kutokea. Jamaa huwa anakuwa kama mpiga ramli tu sanasana anataka wamsumbue tu binti wa watu kuzuia akaunti zake mpaka amle.
Una mwanasheria lakini?
 

Attachments

  • 20241017_120557.jpg
    20241017_120557.jpg
    60.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom