Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana "strong army" likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?

Basi huyu akijiunga Chadema atakuwa mtaji tosha, Tena agombee ubunge Jimbo la mtama
 
Ndio shida ya house girl kutembea na father house........
Anyway shamba la bwana heri na mbuzi ni WA bwana heri. Tumuachie bwana heri msala wake.
Ila watanzania tuamke. Mtu asituchangishe Tena kama mazuzu. Hii iwe mwisho
 
Kwamba hata Serikali inajua ana Strong Army with her???!!!. Hawa watu mashuhuri inapaswa wafundishwe somo la Emotional intelligence, kuna lugha huwa sio za kutumia, sio lugha za matusi ila zinaweza kukuingiza matatania ama watu wakaamua kukuonyesha kwamba hiyo strong army iliyonyuma yako ni zile army za keyboard warriors. Serikali unaweza ukaitukana lakini sio kuitishia, inaweza ikakuadabisha
 
Kosa alilofanya anaweza kuwekwa kizuizini kwa makosa ambayo ni non bailable akaishia kukaa ndani bila dhamana ni rahisi kuingia kwenye tuhuma za kutakatisha fedha kwahiyo asipige ngumi ukuta ni muda wa kuwa mtulivu.
 
Kiuhalisia huyu dada alikuwa na lengo la kujipatia Fedha, kawaida tu kwenye kundi la watu mkimteua mtu achangishe na akusanye pesa Huwa wanakataa, Sasa huyu kaamua mwenyewe alikuwa na lengo lake, na Nina uhakika nawajua watanzania, alikuwa apeleke kiasi , na kingine azuie, Haina tofauti na Mr. Mangulue
 
Kosa alilofanya anaweza kuwekwa kizuizini kwa makosa ambayo ni non bailable akaishia kukaa ndani bila dhamana ni rahisi kuingia kwenye tuhuma za kutakatisha fedha kwahiyo asipige ngumi ukuta ni muda wa kuwa mtulivu.
Nikikumbuka watu wenye influence kubwa, matajiri, wasanii walivyooneshwa jinsi serikali ilivyo haijaribiwi enzi za Jiwe , ndo nikajua Chezea vyote ila Sio sirikali
 
Mkuu unatumia vidole vya mguu kuandika!!
Sorry lakini.
 
Ila sio mbaya ana range tena plate namba ni jina lake, anamalizana nao cha msingi hasi waangushe MASHABIKI WAKE wanao muaminia.
 
Labda alilenga kusema ana watu, but strong amry amekosea. Tuna jeshi moja tu nchi hii jeshi la wananchi wa tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…