StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Kama hajapendwa atachokwa tu hata akiolewa. Muhimu UPENDO!Nyie wanawake wapumbavu sana mtu sio mumeo unaenda kukaa kwake muda mrefu hvyo ili iweje... As long as much unakaa kwa boyfriend ndivyo unavyozidi kupoteza mvuto kwake...