Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app