Ni sahihi kwa mwanamke/Mke wa mtu kuanika chupi zake nje??

Ni sahihi kwa mwanamke/Mke wa mtu kuanika chupi zake nje??

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,623
Reaction score
8,442
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa

Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi

Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa

Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]
IMG_20200305_085204.jpeg
IMG_20200305_085154.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ni sahihi tu, mi naanika tena nyingi zimetoboka atakae mind kimpango wake kwio zake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
 
Kuna habari nilishawahi kuisoma kama miaka 6 iliyopita, ilimhusu binti mmoja aliyefariki kwa Tetenasi (Tetanus) ambapo msiba wake uliwaacha na mshangao wazazi, ndugu, jamaa pamoja na madaktari waliochunguza maiti yake.

Habari iko hivi
Binti huyo ilisemekana alikuwa na tabia ya kufua chupi na kuzianika bafuni kwenye misumari badala ya kuzianika nje ili zipate jua. Hivyo ilikuwa ni tabia yake kwa kipindi kirefu kumbe bila kujua maji maji kutoka kwenye chupi yaliozehsa misumari ile na kufanya kutu (Rust). Binti hakuwa na rekodi ya kujikata wala vidonda lakini alifariki na madaktari walibaini chanzo cha kifo chake ni Tetenasi. Hivyo katika kufuatilia chanzo chake walibaini kuwa chupi alizokuwa akifua na kuanika kwenye misumari ndio zimepelekea umauti wake, kwa maana wadudu wa tetenasi walipitia ukeni. [emoji2817][emoji2817][emoji2817]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
 
Kuna mmoja tulikuwa na ukaribu alizianika nikazipiga picha, baadae nikamtumia WhatsApp! Tulianzia hapo hapo, ukaja mwendelezo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukamla kimasihara [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
 
Ukamla kimasihara [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
Haikuwa kimasihara. Ila ilikuwa starting point yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom