NI sahihi Makatibu Wakuu wa sekta zilizovurunda kupewa tena nafasi kurekebisha makosa na kuchukua hatua watendaji waliopo chini yao?

NI sahihi Makatibu Wakuu wa sekta zilizovurunda kupewa tena nafasi kurekebisha makosa na kuchukua hatua watendaji waliopo chini yao?

Tungekua na Katiba nzuri,tulipaswa kuingia kwenye uchaguzi mkuu.
 
Je, Makatibu wakuu ni wezi au wameshindwa kusimamia taratibu?

Kwani wao ndio watendaji??
wao sio wako kwenye sera tuu?
Say Taasisi fulani inefanya vibaya
Ambayo ina wafanyakazi na Wakurugenzi Wakuu na wasaidizi wake!
Sasa katibu Mkuu anaingiaje?
Labda kuwajibika Kiuongozi??Collective responsibility,Na Kuwajibika kiutendaji labda kwa afisa,Mwanasheria,Mgavi,Mhandisi,Etc?
Wewe una amawazo gani?
 
Nampongeza Mhe. Rais Kwa ukali anaouonyesha Kwa vitendo na kwakuzingatia ethics za utumishi na Mila zetu.

Ila napata wasiwasi pale ambapo Makatibu wakuu waliochemsha wanapopewa nafasi yakujibu tena hoja; NI approach nzuri hasa Kwa wanaoamini kama Mimi kwamba report ya CAG imejaa Sana hoja za NON compliance kuliko hoja za wizi. Ila nivigumu kuamini kueleweka Kwa wale wanaoamini kilichoelezwa kwenye ripoti Ile NI wizi.

Kwa Mimi ninayeamini kwamba report hii ya CAG Kwa maeneo mengi inaripoti non compliance means KM wanaweza kupangua hoja Kwa kuwasilisha vielelezo muhimu au kuboresha michakato Yao ya kutoa huduma.

Kwa wale wanaoamini upo wizi nivigumu kuamini kwamba KMs wanaweza kukamatwa wezi waliopo chini Yao Kwa Sababu taarifa za wezi hao zilipatikana wakati wa exit meetings za kisekta.

Nani kulifumbua fumbo kubwa hivi?
Ni sahihi kilingana na uwezo wa kufikiri wa mtoa Maagizo. we fuata maagizo.

oova.
 
Back
Top Bottom