Ni Sahihi Makonda kufanya Promo tangazo la Fiesta?

Sawa mkuu,
Lakini Je, kuna hitaji viongozi wa serikali kufanya promo?
Bila wao Fiesta haitakuwa poa?

Au viongozi hutumia tamasha hili kujikuza kisiasa?

Au wana interest ya 10% ya mapato ya fiesta?
 
Mawingu wameamua kushirikiana na mvaamizi wao waziwazi? Kwa kweli WCB wawape poo kidogo wenzao, hii kamata mwizi ni hatari, tukutane NANGWANDA, tukaijaze NANGWANDA.
 
Huyu jamaa ni shoga kwahiyo kitu chochote akifanya ni sawa tu.
 
Sawa mkuu,
Lakini Je, kuna hitaji viongozi wa serikali kufanya promo?
Bila wao Fiesta haitakuwa poa?

Au viongozi hutumia tamasha hili kujikuza kisiasa?

Au wana interest ya 10% ya mapato ya fiesta?
Hahaha wakifanya wao haina shida, wakifanya chadema au wapinzani wao utasikia mwisho saa 5:59 usiku. Clouds waliwahi kuambiwa hakuna kukesha, ikulu ikajibu kesheni.
 
I Hakuna namna bora kuelewa tu hata visivyoeleweka aka MATAGA
 
chochote anachofanya mwana mfalme ni sahihi hata akiamu kupiga mtu hadharani risasi pla posta ni sahihi
 
Ameipa promo fiesta?makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…