Hakuna sababu ya kimantiki au Kisayansi kwa kusema ule ukweli, kwamba mtu fulani ni Mkristo au Muislam eti kwa sababu anaihusudu dini. Ukweli ulio dhahiri ni mmoja tu kuwa tunafuata dini kwa sababu wazazi wetu tuliwakuta wakiwa huko,nje ya hapo hakuna lolote. Na kwa sababu hiyo,tunafuata mkumbo. Huo ndiyo upande wa kwanza wa shillingi.
Ama kuhusu upande wa pili ni ule ambapo tayari tumo humo kwa kuzaliwa na kurithi dini,sasa suala linalofuata ni judgement based on belief and truth. Hilo inategemea na mapokea na tafakuri kuu,kupembua kwa undani uhalali wa kwa nini dini hii inasema hivi,ile inasema hivi. Ni suala la judgemental decision!
Uchaguzi unabaki kwa muhusika kupembua na kuamua dini ya haki ni ipi!