Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Mwanamke anafata mumewe iwe mkoani au kiimani, kama mume muislam safi unaweza silimu tu ukawa muislamu ili muende sawa, mi mchumba wangu mkatoliki ila naona hapo ndipo tutaposhindwana ikifika muda wa ndoa!
 
kiukweli sina bahati ya kukutana na watoto wa kiislamu
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.

Nanataka nibadilishe dini kwetu wana imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo nimechoka kabisa.

Naombeni ushauri maana wakristo hawatamki ndoa ila nikipata waislamu wanadai ndoa fasta
hata miezi sita hafikii so niko njia panda hadi now.
Tola tu
 
Back
Top Bottom