Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini awe jasiri hiviKwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Kutafuta chochoteHuu ni mtihani mzito,
Itategemea anachelewa kurudi katoka wapi[emoji23]
Kazi yake ni nini
Nashukuru umenisaidia kushangaa maanaKha!
Generation Z ni janga la kidunia.Hiyo ni meseji ya kawaida sana kutoka kwa mke wacha utoto wewe dogo wa mwaka 95
Kuna watu wa ajabu sanaNashukuru umenisaidia kushangaa maana
Mimi naona akirudi saa sita siku hiyo ndio karudi mapema.Jamaa anarudi ndani saa sita usiku, anamuamsha mke wake ampe chakula Cha mezani na ngono.Mwanamke naye hataghairi lazima atafanya Kama alivyoagizwa.
Kuna ndoa za watu huko nje Ni full maghilibu.
Generation Z ni janga la kidunia.
Funguo uliyoondoka nayoKwa hiyo nani afungue mkuu?
Kwani kuna tatizo gani ukijifungulia mlango?✓ Wakati mwingine funguo inaweza kupotea kisha ikawa msala kwa aliyefungiwa mlango kwa nnje kwa ATHARI zifuatazo;
1. Mke anaweza kuhitaji msaada wa ghafla ikiwa anaumwa na msaada zaidi wa karibu ukawa ni mumewe lakini bahati mbaya mtendao wa simu usiwe vizuri.
2. Anaweza kuzidiwa akashindwa kujikongoja hadi kufungua geti ili apate msaada hata toka kwa Jirani au kwa wapita njia.
✓ "Usumbufu" inamaana kurudi kwa Mumewe ni kero kwake ilihali usikute ni yeye mwenyewe ndiye sababu ya Mumewe kurudi usiku sana home tokana na gubu.
✓ Haiba ya kike huanzaga kuondoka kwa jinsi ujumbe unavyowasilishwa kwa Mumewe kwa lugha isiyo rafiki kimahusiano maana Me yeyote ajitambuaye hupenda utii toka kwa Mke.
✓ Watu wengi wameandika kimuhemuko bila ya kuangalia upande wa Me unasababishwa na ulazima upi hadi awe anamgongea Ke wake kufungua geti.
✓ Me anaweza kuajiri House Girl akawa anatelekeza yote kisha akawa Mke mwenza wa huyo Mke halali wa ndoa sababu ya uvivu wa kijinga.
Hili suala baadhi ya wanaume wanalitumia kama control issue tu na sio mapenziMwambie ampe Funguo Housegirl, uone huo ugomvi wake, Yuko radhi akeshe anakusubiri Hadi pakuche
Badala ukae home upige miti mke uko unalewa afu unafosi ufunguliwe mlangoMwanamke sio lazima aambiwe moja ya jukumu ni kufungua mlango hapana hilo ni jukumu lake automatically
Yuko kutafuta ama yuko bar?.Kwa mm naona mwanamke anakosea mumeo kaenda kutafuta alafu uwambie unachoka kufungua mlango kwanza unapata wapi ujasili wakulala bila kumuona mumewako kama ameludi salama sema kunashida nyingine apo ndani yake
kupotea tu!; chochote chaweza kupotea Kazi, mke, wewe mwenyewe waweza potea mazimaa!... mlevi tunza ufunguo wako vizuriiii!! au fukia kunako nguzo ya getini!! asipojua mtu afu juu weka kimba!✓ Wakati mwingine funguo inaweza kupotea kisha ikawa msala kwa aliyefungiwa mlango kwa nnje kwa ATHARI zifuatazo;
1. Mke anaweza kuhitaji msaada wa ghafla ikiwa anaumwa na msaada zaidi wa karibu ukawa ni mumewe lakini bahati mbaya mtendao wa simu usiwe vizuri.
2. Anaweza kuzidiwa akashindwa kujikongoja hadi kufungua geti ili apate msaada hata toka kwa Jirani au kwa wapita njia.
✓ "Usumbufu" inamaana kurudi kwa Mumewe ni kero kwake ilihali usikute ni yeye mwenyewe ndiye sababu ya Mumewe kurudi usiku sana home tokana na gubu.
✓ Haiba ya kike huanzaga kuondoka kwa jinsi ujumbe unavyowasilishwa kwa Mumewe kwa lugha isiyo rafiki kimahusiano maana Me yeyote ajitambuaye hupenda utii toka kwa Mke.
✓ Watu wengi wameandika kimuhemuko bila ya kuangalia upande wa Me unasababishwa na ulazima upi hadi awe anamgongea Ke wake kufungua geti.
✓ Me anaweza kuajiri House Girl akawa anatelekeza yote kisha akawa Mke mwenza wa huyo Mke halali wa ndoa sababu ya uvivu wa kijinga.