Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Halafu mpaka mwanamke anaamua kulala hiyo itakuwa ni kuanzia kwenye saa 4 usiku na kuendeleaYupo sahihi, huo muda ni wa kukaa na mkeo ndani, we upo bar unapiga vyombo, kisha mwenzio akiwa kapumzika ndio uanze kumsumbua akufungulie mlango
WE KUWEZA?