✓ Wakati mwingine funguo inaweza kupotea kisha ikawa msala kwa aliyefungiwa mlango kwa nnje kwa ATHARI zifuatazo;
1. Mke anaweza kuhitaji msaada wa ghafla ikiwa anaumwa na msaada zaidi wa karibu ukawa ni mumewe lakini bahati mbaya mtendao wa simu usiwe vizuri.
2. Anaweza kuzidiwa akashindwa kujikongoja hadi kufungua geti ili apate msaada hata toka kwa Jirani au kwa wapita njia.
✓ "Usumbufu" inamaana kurudi kwa Mumewe ni kero kwake ilihali usikute ni yeye mwenyewe ndiye sababu ya Mumewe kurudi usiku sana home tokana na gubu.
✓ Haiba ya kike huanzaga kuondoka kwa jinsi ujumbe unavyowasilishwa kwa Mumewe kwa lugha isiyo rafiki kimahusiano maana Me yeyote ajitambuaye hupenda utii toka kwa Mke.
✓ Watu wengi wameandika kimuhemuko bila ya kuangalia upande wa Me unasababishwa na ulazima upi hadi awe anamgongea Ke wake kufungua geti.
✓ Me anaweza kuajiri House Girl akawa anatelekeza yote kisha akawa Mke mwenza wa huyo Mke halali wa ndoa sababu ya uvivu wa kijinga.
kupotea tu!; chochote chaweza kupotea Kazi, mke, wewe mwenyewe waweza potea mazimaa!... mlevi tunza ufunguo wako vizuriiii!! au fukia kunako nguzo ya getini!! asipojua mtu afu juu weka kimba!
2. kuzidiwa ni kuzidiwa tuu hata ukiwa mbele ya Daktari manesi na wana maabara! waweza zidiwa na usipone wao wala wewe si Mungu wa kuponya walio zidiwa!
hata kama Mkewe ndo kero!! ama ana gubu siyo kosa la mke (Muolewa) ni makosa ya me mjinga kutafuta na kuoa mke mwenye Gubu!! ndo maana ya uchumba! amvumilie! tu ni ujinga na zigo lake !! na pia atakuwa mjinga kushindwa kulitunza zigo lake! alilolitafuta kwa akili zake!
Mi makosa ke kutii mpumbavu/mlevi...asiye jua maana ya mke! Km vipi saa kumi akitoka kazini aende moja kwa moja kunywea pombe mbele ya mkewe!! ni makosa ke kumfungulia a geti mlevi tena basi ke akiwa na usingizi!
akibakwa? wkt aki dhania anamfungulia mumewe?? kwa usalama wa huyo mke acha upumbavu msikilize mkeo ana akili sana kuliko weye! huyo jamaa hana akili!.....hata asipo weka house girl bado haimzuiii mlevi kuchepuka au kuleta mke mwenza hapo!
huo siyo uvivu wa mke bali ni wenda wazimu wa Mume mujinga! na weye unae mtetea Wazanaki tuna sema '' wooote Manzi ga Nyanza''! mna stahili viboko 24, km ifutavyo;
kumi na mbili mnapo ingia Lupango! na kumi na mbili mnapo toka! mkasimulie vizuri wake zenu!