Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

Halafu kwanini mnapenda kusema rfk yangu rfk yangu wakati ni wewe mburaaa
 
kwanini awe jasiri hivi
kwani haoni kama we ndo pumziko lake ?
yaani broo mkeo anakuita msumbufu ?
ina maana haoni unavyotoka unatoka kwa ajili ya kumtafutia ?
all in all kuna raha furani hivi kuona umerudi usiku nyumbani kwako unagonga mlango then mke ndo anakuja kukufungulia huku akapokea vile ulivyokuja navyo
 
Jamaa anarudi ndani saa sita usiku, anamuamsha mke wake ampe chakula Cha mezani na ngono.Mwanamke naye hataghairi lazima atafanya Kama alivyoagizwa.

Kuna ndoa za watu huko nje Ni full maghilibu.
Mimi naona akirudi saa sita siku hiyo ndio karudi mapema.
 
Walevi tunakera sana wake zetu. Hakika wanatuvumilia sana. Badilika mkuu. Simply put
 
Sasa apo inawezekana jamaa anarudi mida mibaya saana mida ya popo, kama vip awe analala huko huko tu tuone tena uamuzi wa mke wake
 
Yaani kweli watu tunatofautiana akili sana sana!! hili nalo la kuulizza humu JF?.......ni halali wa Division zero wawepo kweli!! wewe km ulisoma ulipata division 0000000000'' Siyo kwa ujinga huu!!

JF nimeamini ni wavumilivu sana!
 
Kufunguliana siku moja mbili sio shida

Ila kila leo tembea na funguo
 
Kwani kuna tatizo gani ukijifungulia mlango?

Mtu kakuchoka na tabia za night kali bado awe mtumwa kwako?

Unampenda sana housegirl muoe awe na mji wake,wake wenza kila mtu ana mji wake
 
Mwambie ampe Funguo Housegirl, uone huo ugomvi wake, Yuko radhi akeshe anakusubiri Hadi pakuche
Hili suala baadhi ya wanaume wanalitumia kama control issue tu na sio mapenzi
Na km unafikia hatua unamtamani dada muoe akae kwake uone itakuwaje
Wewe ukiambiwa mara kwa mara uamke kufungulia mtu utakubali?.
 
Kwa mm naona mwanamke anakosea mumeo kaenda kutafuta alafu uwambie unachoka kufungua mlango kwanza unapata wapi ujasili wakulala bila kumuona mumewako kama ameludi salama sema kunashida nyingine apo ndani yake
Yuko kutafuta ama yuko bar?.
 
kupotea tu!; chochote chaweza kupotea Kazi, mke, wewe mwenyewe waweza potea mazimaa!... mlevi tunza ufunguo wako vizuriiii!! au fukia kunako nguzo ya getini!! asipojua mtu afu juu weka kimba!

2. kuzidiwa ni kuzidiwa tuu hata ukiwa mbele ya Daktari manesi na wana maabara! waweza zidiwa na usipone wao wala wewe si Mungu wa kuponya walio zidiwa!

hata kama Mkewe ndo kero!! ama ana gubu siyo kosa la mke (Muolewa) ni makosa ya me mjinga kutafuta na kuoa mke mwenye Gubu!! ndo maana ya uchumba! amvumilie! tu ni ujinga na zigo lake !! na pia atakuwa mjinga kushindwa kulitunza zigo lake! alilolitafuta kwa akili zake!

Mi makosa ke kutii mpumbavu/mlevi...asiye jua maana ya mke! Km vipi saa kumi akitoka kazini aende moja kwa moja kunywea pombe mbele ya mkewe!! ni makosa ke kumfungulia a geti mlevi tena basi ke akiwa na usingizi!

akibakwa? wkt aki dhania anamfungulia mumewe?? kwa usalama wa huyo mke acha upumbavu msikilize mkeo ana akili sana kuliko weye! huyo jamaa hana akili!.....hata asipo weka house girl bado haimzuiii mlevi kuchepuka au kuleta mke mwenza hapo!

huo siyo uvivu wa mke bali ni wenda wazimu wa Mume mujinga! na weye unae mtetea Wazanaki tuna sema '' wooote Manzi ga Nyanza''! mna stahili viboko 24, km ifutavyo;

kumi na mbili mnapo ingia Lupango! na kumi na mbili mnapo toka! mkasimulie vizuri wake zenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…