Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kha!Kazi yake ni nini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha!Kazi yake ni nini sasa?
Kwaio unataka kusema kazi yake ni kukufungulia we mlang?Kazi yake ni nini sasa?
Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Kwani kiutaratibu mapenzi yanatakiwa yafanywe saa ngapi?starehe zako ziwabugudhi na wengine,ni shida kuwa na limtu linalorudi wengine washalala mi watu wa hivyo sijui hata mapenzi huwa wanafanya sa ngapi?
Acha bas yeye ulimuoa akufungulie mlango acha kumchosha Kama ume mshindwa toa namba waungwana wamuondolee uchovu uho maana we hujui kupenda af unaonekana Kama mtu wa kanda ya ziwa ?Kwa hiyo nani afungue mkuu?
Mara 3 kutwa.Kwani kiutaratibu mapenzi yanatakiwa yafanywe saa ngapi?
Kwa nini arudi wake mke amelala? Kwa hiyo huyo mke asilale amsubiri jamaa hata kama atarudi saa tisa usiku?Kwa nini alale kabla jamaa hajarudi?
Na kwanini asiwahi kurudi kabla mkewe hajalala?, siyo vizuri unachelewa home na kumbe upo BarKwa nini alale kabla jamaa hajarudi?