Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Vijana tumieni mundende, vinginevyo mtapata tabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✓ Wakati mwingine funguo inaweza kupotea kisha ikawa msala kwa aliyefungiwa mlango kwa nnje kwa ATHARI zifuatazo;Wengi wanaochangia ni kama hawana ndoa na kama wameoa/olewa, ni wale waliozaliwa kuanzia mwaka '92, unaona kabisa wamejawa na Ubeijing
Nimekupata vyema mkuu✓ Wakati mwingine funguo inaweza kupotea kisha ikawa msala kwa aliyefungiwa mlango kwa nnje kwa ATHARI zifuatazo;
1. Mke anaweza kuhitaji msaada wa ghafla ikiwa anaumwa na msaada zaidi wa karibu ukawa ni mumewe lakini bahati mbaya mtendao wa simu usiwe vizuri.
2. Anaweza kuzidiwa akashindwa kujikongoja hadi kufungua geti ili apate msaada hata toka kwa Jirani au kwa wapita njia.
✓ "Usumbufu" inamaana kurudi kwa Mumewe ni kero kwake ilihali usikute ni yeye mwenyewe ndiye sababu ya Mumewe kurudi usiku sana home tokana na gubu.
✓ Haiba ya kike huanzaga kuondoka kwa jinsi ujumbe unavyowasilishwa kwa Mumewe kwa lugha isiyo rafiki kimahusiano maana Me yeyote ajitambuaye hupenda utii toka kwa Mke.
✓ Watu wengi wameandika kimuhemuko bila ya kuangalia upande wa Me unasababishwa na ulazima upi hadi awe anamgongea Ke wake kufungua geti.
✓ Me anaweza kuajiri House Girl akawa anatelekeza yote kisha akawa Mke mwenza wa huyo Mke halali wa ndoa sababu ya uvivu wa kijinga.
100%Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Baada ya Mtu kusema wengi waliomtetea Ke ktk hii mada ni Ke wa Beijing na wavulana wa miaka ya 92 nawe umehitimisha waliomtetea Me ni walevi, au siyo [emoji848][emoji28]Ninachokiona kwenye huu uzi walevi au wanywa pombe wanaona kama wameonewa sana jaman embu mda mwingine tutumie busara zetu mtoto wa watu umemuoa ili iweje we uko zako bar unakula mvinyo alafu yeye umwache peke yake home ni uungwana kweli? Mke anaitaji muda wako na yeye ainjoi aseme na yeye kaolewa sasa wakulungwa wenzangu mda mwingi mko kwa mama B mnakula ugimbi kwakwel itakuwa sio powa embu tujitafakari kama unaona unaitaj mda mwingi wa kutanua basi usiwai kuoa ili uzitafune vzur bia
Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Lugha iko sahihi kwa nini kuremba rembaUjumbe uliokusudiwa uko sawa ila lugha iliyotumika siiungi mkono
Mke kukwambia jambo kwa lugha hiyo sio fair, bado angeweza kufikisha ujumbe wake kwa lugha isiyo na ukakasi kama hii.
Mfano angeweza kukwambia uchukue ufunguo ili kurahisisha unaporudi uingie ndani mapema maana unaweza kukuta amesinzia ukagonga muda mrefu, kiusalama sio vizuri kugonga mlango muda mrefu vibaka wanaweza kukuteka ukiwa mlango kwako unasubiri kufunguliwa
Tena huyo mke ni mwungwana sana.Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Kurudi Saa mbilii ndo mwanamke anaanza kufoka hivii?..Ninachokiona kwenye huu uzi walevi au wanywa pombe wanaona kama wameonewa sana jaman embu mda mwingine tutumie busara zetu mtoto wa watu umemuoa ili iweje we uko zako bar unakula mvinyo alafu yeye umwache peke yake home ni uungwana kweli? Mke anaitaji muda wako na yeye ainjoi aseme na yeye kaolewa sasa wakulungwa wenzangu mda mwingi mko kwa mama B mnakula ugimbi kwakwel itakuwa sio powa embu tujitafakari kama unaona unaitaj mda mwingi wa kutanua basi usiwai kuoa ili uzitafune vzur bia
Saa 1 jioniKwani kiutaratibu mapenzi yanatakiwa yafanywe saa ngapi?
Na wewe kwa Nini uende nyumbani umechelewa? Hadi aseme hivyo inaonekana umekua Ni tatizoKwa hiyo nani afungue mkuu?