Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

Kuna kitu unakimiss mkuu katika suala zima la utaalamu wa kimawasiliano. Umesema ni ishu inayomhusu mshkaji wako but on between of your story and your comments unarespond as you're the one who is concerned with the story, yaani mhusika wa swahibu hili. A lot of confussion and unprofessional!
 
Kwema wakuu?

Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.

"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"

Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Kyagata ni kijiji huko UKURYANI, hivyo yawezekana mwandishi ni Mkurya......Niseme nini tena?
 
Mpe onyo kali uyo anataka kukupanda kichwani.....au kama anataka utembee na funguo atoke nje ufunge ..
huu ni ushauri tu, mimi siishi hivi
 
Ukitimiza wajibu 100% hata ukirudi saa kumi yeye ataweka alamu saa 9 ili usigonge mda mrefu. Ila kama unasua sua na majukumu yako kwamba na yeye anaenda kutafuta kusaidia familia, chukua funguo tu.
 
Mwambie ampe Funguo Housegirl, uone huo ugomvi wake, Yuko radhi akeshe anakusubiri Hadi pakuche
Inategemea na mwanaume. Vijana wengi wanapenda kusaidiwa majukumu na mwanamke. Ukiruhusu hili kubali kupoteza upande wa pili wa kuabudiwa na kusujudiwa kama mwanaume na ukikaa vibaya mtapangiana mpaka kazi za ndani kwa zamu.

" Baba juniour leo utasafisha chumba sababu natakiwa nikachukue mzigo nikauze junior apate ada na hicho choo ni kichafu."
 
Kwema wakuu?

Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.

"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"

Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Yuko sahihi kabisa
 
kama ni wewe mkuu fukuza huyo mwanamke hafai kabisa kwani amekuja kulala hapo mpu....vu huyo kufungua mlango usiku wa manane wakati umerudi kunywa walwa hiyo ni moja ya majukumu yake
😀 😀 😀 😀ni hatarii sana mwanamke kuna vitu anasema kukupima upepoo yani ukijaa tu umekwishaaa anajua hili falaaa
 
😀 😀 😀 😀ni hatarii sana mwanamke kuna vitu anasema kukupima upepoo yani ukijaa tu umekwishaaa anajua hili falaaa
wewe una akili nyingi sana kama hivi ukikubali kuchukua funguo kwa amri yake kesho atakwambia uoshe ma hotpot na hutokataa kuna demu nilikaanae mwaka na nusu kwa amani na akazaa na mtoto akanipanda kichwani siku moja tu kunijaribu siku hiyo hiyo aliondoka mtoto akiwa na wiki mbili tangu kuzaliwa vikao vitatu vya familia havikufua dafu hadi leo ni singo maza
 
mwanamke flani alianza tabia ya kufoka kwenye simu yani anaweza piga simu tumepishana tu anafokaa... aishaa nilirudi ile siku hiyo nilimuwashia moto hakurudia yani bora asipige simu kuliko kupiga simu alafu ajikute ana hasiraa
 
wewe una akili nyingi sana kama hivi ukikubali kuchukua funguo kwa amri yake kesho atakwambia uoshe ma hotpot na hutokataa kuna demu nilikaanae mwaka na nusu kwa amani na akazaa na mtoto akanipanda kichwani siku moja tu kunijaribu siku hiyo hiyo aliondoka mtoto akiwa na wiki mbili tangu kuzaliwa vikao vitatu vya familia havikufua dafu hadi leo ni singo maza
yaah wanawake wote wana hiyo tabiaaa... mwanamke anaweza asiwe na vitabia vya ovyoo unapomuoaa ila ukianza kuishi nae tabia zake kubadilika inategemeana na wew unaishi nae vipi usimchekee akizingua washa moto
 
Hapo SI rahisi tu amechoka tabia yako ya kurudi usiku mkubwa Kila siku kiasi cha kumkuta amelala, hapo anafikisha ujumbe Kwa lugha nyingine inaonyesha hata kitandani hapati chakula chake lazima achoke, anakuwa mlinzi geti ebooo
 
Hapo SI rahisi tu amechoka tabia yako ya kurudi usiku mkubwa Kila siku kiasi cha kumkuta amelala, hapo anafikisha ujumbe Kwa lugha nyingine inaonyesha hata kitandani hapati chakula chake lazima achoke, anakuwa mlinzi geti ebooo
kama amechoka arudi kwa wazazi wake huko atalala kwa amani mustarehe bila kusumbuliwa eboooo
 
Kwema wakuu?

Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.

"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"

Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Wahi kurudi home
 
kama amechoka arudi kwa wazazi wake huko atalala kwa amani mustarehe bila kusumbuliwa eboooo
Nadhani hili ndio lilikuwa jibu murua kwake kabla ya kuleta bandiko huku, kama ulimuoa na ukamwambia Moja ya majukumu yake ni kukufungilia geti na anadai amechoka basi kibarua kimemshinda yakheee mrudishee akaoshe vyombo kwao
 
Ila Kwa namna inavyoonekana mkeo anamisi uwepo wako ila wewe unajifanya uko bize. Anakosa wa kupiga naye stori akizoelea hivyoo atajikuta anakuwa mbeya Mwanamke anapenda mtu wa kuzungumza naye angalau kama mume unampa nafasi anajisikia faraja
 
Back
Top Bottom