Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

Nahis naww umeandika vyombo vipo hewani sasa apo kosa amna yeye katoa feeling zake
 
Kwahiyo wewe ukalewe halafu ukija umsumbue mwenzako kwenye starehe yake ya usingizi.
Mwambie aache ujinga aheshimu hisia za mkewe

Nadhani huu ndo mfano hai wa mfumo dume mimgine ile wanakurupukaga tu kuitaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…