Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kupitisha mwezi bila kulipia Kisha unasema hujaona Cha maana aisee!!Mbona umewasemea Azam tuu wakat kuna Dstv pia. Any way toka nimenunua kisimbuzi cha Azam mwaka 2017 sijawah pitisha mwezi bila kulipia na huwa nalipq kile cha bei ya juu ambacho kwa sasa ni 35k na sijawah kuona cha maana walichonacho Azam... Acha tibisii wawape watz burudan
[emoji106][emoji106][emoji3581][emoji817][emoji3581][emoji3581]Hivyo hivyo mradi ubao unaonekana
siwezi kuangalia mpira kupitia tbc bora tuu nilaleeImagine wewe ndio mmiliki wa Azam TV halafu unasikia TBC wanaonesha bure michuano mikubwa ya CAF CHAMPIONS LEAGUE tena kupitia kisumbusi chako hicho hicho ambacho wewe una wataka watu walipie elfu 24 kuona mechi hizo!
Kibiashara limekaaje hili? Ingekuwa wewe ndio mmiliki wa Azam TV ungefanya nini?
Anauliza mdau kutoka X.
ikidhi tu hivyo vigezo tupate burudani kupitia tv ya umma, tumechoka na utemi wa azam ni ghali sana kifurushi chake kwa mweziAnauliza mdau wa X au wauliza wewe...?
TBC ni televisheni ya umma, ipo huru kuonesha kila mchezo uwe wa CAF, UEFA, FIFA n.k kama tu ikikidhi vigezo vya vibali...
hayo mambo ya ubora picha HD ni option ya mtazamaji ataamua atazame mpira kupitia chaneli ipi ya kulipia au bureila kwa ile quality ya picha ni bora ulipie tu kifurushi
mabepari yanataka yahodhi matangazo yote ya mpira tv za taifa zisionesheMipira ya Africa ya ndani yote TV za Taifa zina haki ya kuonyesha mipira yote sema wale Dstv walikua wanatoa rushwa kubwa kwa baadhi ya Nchi zisiwe zinaonyesha ili wao wauze wiki iliyopita pana wakuu wawili wameacha kazi kwa kashfa hiyo SA Mult Choice sema hii haki wengi walishaisahau wanaona sio haki yao maana FIFA na CAF wanatoa pesa kusapoti tuone Mpira kupitia TV ya Taifa..
Ulitaka tuangalie kupitia kwenye domo lako?Imagine wewe ndio mmiliki wa Azam TV halafu unasikia TBC wanaonesha bure michuano mikubwa ya CAF CHAMPIONS LEAGUE tena kupitia kisumbusi chako hicho hicho ambacho wewe una wataka watu walipie elfu 24 kuona mechi hizo!
Kibiashara limekaaje hili? Ingekuwa wewe ndio mmiliki wa Azam TV ungefanya nini?
Anauliza mdau kutoka X.
Inategemea na leseni inatolewaje.Imagine wewe ndio mmiliki wa Azam TV halafu unasikia TBC wanaonesha bure michuano mikubwa ya CAF CHAMPIONS LEAGUE tena kupitia kisumbusi chako hicho hicho ambacho wewe una wataka watu walipie elfu 24 kuona mechi hizo!
Kibiashara limekaaje hili? Ingekuwa wewe ndio mmiliki wa Azam TV ungefanya nini?
Anauliza mdau kutoka X.
acha acha kabisa. jana nimeteseka sana. sijui wameuziwa resulotion ya 240p plus na angle mbovu. senge sana hawa tbccm kama wamelazimishwa kuonyeshaInaonekana vibaya sana 😁🤣
wanaitwa hasidi sindano mbele anatoboa nyuma anatungwa uzi uliopakwa mateKuna wana wanaroho ya kwanini ile kinoma noma. Ila poa tu.
Azam na DSTV si wapo?acha acha kabisa. jana nimeteseka sana. sijui wameuziwa resulotion ya 240p plus na angle mbovu. senge sana hawa tbccm kama wamelazimishwa kuonyesha
Binafsi nliinjoy kwa hii hii quality usiyoipenda.ila kwa ile quality ya picha ni bora ulipie tu kifurushi