Ni sahihi watumishi wa umma kumiliki simu mbili au zaidi kila moja ikiwa na thamani ya zaidi ya milion mbili?

Ni sahihi watumishi wa umma kumiliki simu mbili au zaidi kila moja ikiwa na thamani ya zaidi ya milion mbili?

Madee aliwaiwa kuimba ivi

Wivu Tamaa na nja ukiendekeza juu ya kidole utaka aaaah
Mkuu chunga sana kipengele cha wivu
 
Angalia hali hiyo huwa inaleta maradhi ya sonona na vidonda vya tumbo
 
Mtoa mada pitia hapa kwa Mangi upate maji yakushushe presha
 
Dah,

Ukisikia maisha yametinga kitop ndo sasa, yaani ndo tumefika huku...!

Mtu ateseke kutafuta mwenyewe lakini wakati wa kupanga matumizi unalilia akuite, ili iweje sasa.....!
 
Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?

Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.

Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?

Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.

Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.

Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.

[emoji1787][emoji1787]utajuaje km amekopa? Na kama kahongwa je? We yakuhusu nini?
 
Kwamba ndugu zako wakiwa na shida ndo usinunue simu nzuri? Kwamba kisa Watanzania wanashida ndo usiishi upendavyo kisa ni utumishi wa umma sijui kijiko?
 
Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?

Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.

Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?

Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.

Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.

Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Itafika mahali mtu akienda benki kukopa anaulizwa amewezaje kupata dhamana.
 
Umaskini Mbaya sana aisee.

Wanyabi, Tusake Shekeli kwa bidii zote
 
Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?

Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.

Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?

Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.

Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.

Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Acha wivu wewe
 
Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?

Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.

Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?

Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.

Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.

Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Mbuzi kabisa wewe... Pumbavu kabisa kama ban na nipigwe tu nilishazoea.
umeandika ushuzi gani huu
 
Nje Ya Mada Hoja Yako Inaweza Kuingia Kwenye Ile Ya DED Geita
 
Nimecheka Sana hizi comments[emoji3][emoji3]..but huyu mkuu anaonekana Ana degree ya ushirikina kasoro zana za Kazi.....kupangia wenzie majukumu...wewe unajuaje Kama Ana ndugu Kijiji wanamtegemea?
 
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua..

Ki msingi mkuu, hueleweki, yaani umeanza kwa kuhoji mishahara yao, na pesa watoa wapi, kisha unamaliza kwa kuwapangia nini cha kufanya kwa kutumia pesa zao.

Shida ni simu, au shida ni matumizi ya pesa zao binafsi!?
 
Back
Top Bottom