Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?
Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.
Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?
Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.
Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Yaelekea huyu mpendwa hata kitochi hana[emoji1787][emoji1787]utajuaje km amekopa? Na kama kahongwa je? We yakuhusu nini?
Itafika mahali mtu akienda benki kukopa anaulizwa amewezaje kupata dhamana.Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?
Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.
Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?
Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.
Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Yaelekea huyu mpendwa hata kitochi hana
Mtoa mada ni muathirika wa malezi ya ujamaa.means ukiwa mtumishi ni lzm uwe masikini Nyerere typeUshamba tu, wengine kazi wameitafuta kwa tabu mpaka kuipata kisha ashindwe hata kununua akitakacho?
Ushuzi UshuziNaona wengi hawajamuelewa alichomaanisha
Acha wivu weweMishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?
Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.
Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?
Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.
Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Mbuzi kabisa wewe... Pumbavu kabisa kama ban na nipigwe tu nilishazoea.Mishahara ya watumishi wa Umma nimikubwa kiasi gani? Unatembelea ofisini kwa mtu unamiuta anasimu tatu smartphone zenye thamani ya si chini ya milioni mbili kila moja, unajiuliza haya mafedha wanayatoa wapi?
Je, huu ni utajiri au nikukosa elimu ya matumizi za fedha? Inaweza kuwa tunashangaa V8 za wakurugenzi kumbe tatizo linaanzia huku chini ambapo badala yakufanya Mambo yanayogusa jamii wamejikita kwenye anasa zisizofaa.
Kama mtu anamiliki simu za milioni nane hadi kumi unategemea huyu ukimpa madaraka makubwa atawajali wananchi wachini au atazidi kujilimbikizia Mali?
Hawa wenye masimu kibao ukiwafuatilia huko walipotoka wapo ndugu zao hawana ada na kwa wao kushindwa kugawanya vipato vyao wamepelejea nchi kuendelea kuwa na tatizo kubwa la umaskini.
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua.
Hapa najadili simu ila vipo vingi vyakujadili ambavyo tusipovikemea tunatengeneza taifa la walafi wakati nchi yetu umezaliwa kwenye ujamaa.
Yamkini angeacha kununua simu hizi zisizo na kazi angewekeza kwenye biashara na angeajiri watu kadhaa tatizo la ajira lingepungua..