Ni sawa kufanya tohara? Kwanini muumba aliweka govi?

Hallelujah we mkuu mleta mada kama unalo katolewe usione aibu
 
Ndio maana kuna Agano Jipya na Agano la Kale
 
Daah govinda ni mtihani, cubemate wetu alikua analala na suruali 7bu ya mkono wa sweta. You loose confidence kwenye halaiki.
Ila sasa iringa naona wanadondosha hizo sweta
 
Asante.
 
Kwaiyo Suleiman alikuwa govi Dah.
 
Kama nikilifanyia usafi wa kina nikiliacha ni kosa? Ukikata kucha zinaota nyingine hata nywele zinaota lakini govi halioti lingine. Niruhusuni niliache usafi nitajitahidi. Au kuna sababu nyingine?
 
Kichwa cha uume kinapofunikwa na ngozi kinatengeneza uchafu ambao si mzuri naunaharufu mbaya sana

Pia uwezekano mkubwa wa kupata HIV

Wakati wa tendo kichwa cha uume kina vipele fulan hivi amaizing so kinapoingia ukeni kinamkuna mwanamke vzuri tofauti na govi
 
Kwaiyo Suleiman alikuwa govi Dah.
Hapana hakuwa na govi, sababu babu ya baba na mababu zake tangu huko mwanzo wala babu yake yeye hajulikani kama atakuja kuzaliwa, yaani mzee Ibahimu, ambaye ni wa kwanza kutahiriwa alikatwa hiyo govi, baada ya hapo umekuwa ni utaratibu wao, na kama mtu asingetahiriwa basi angakufa!! Kwa hiyo Suleiman alitahiriwa kama ilivyo desturi ya wa Israel wote mkuu
 
Yesu alivyokuja duniani alitengua yote yaliyokuwa Agano la kale na likaja Agano Jipya. That means sio lazima asili ibakie na asili yake, wanadamu kila kukicha tunapata akili
Unachokisema ni kweli ndugu, sababu ya kutahiriwa kwa Ibrahimu ilikuwa ni ishara ya agano kati ya Mungu na mtumishi wake Ibrahimu, katika agano jipya imeegamia kiimani zaidi yaani kutahiriwa moyo, tangu hapo kutahiriwa kwa mwili kumekuwa si kitu tena, ila ni kwa mwenye Imani thabiti juu ya mafundisho ya Jesu Kristo kupitia mtume Paulo
 
Kwani Suleiman na Ibrahim Nani wa Kwanza kuzaliwa au nabii gani wa kwanza kati ya hao.
 
Kichwa cha chini chenyewe huwa hakitaki kukaa kwenye mfuko huwa kinaomba mfuko uondolewe kipate hewa safi
 
Kwani Suleiman na Ibrahim Nani wa Kwanza kuzaliwa au nabii gani wa kwanza kati ya hao.
Ibrahim ndiyo wa kwanza kuwepo duniani kabla ya Suleiman, Suleiman amezaliwa na mfalme Daudi, na mfalme Daudi amezaliwa na Yese, Yese amezaliwa na Obedi na Obedi amezaliwa na Boazi,

huyu Boazi alimwoa Ruth ambaye hapo kabla aliolewa na mmoja wa watoto wa mama mmoja wa kiirael aliyeitwa Naomi, huyu Naomi alifiwa na mumewe katika nchi ya ugenini na baada ya muda watoto wake wawili wa kiume pia wakafa akabakia na wakweze wawili ambao mmoja wao ndiyo huyu Ruth aliye chanzo cha mfalme Daudi babaye na mfalme Suleiman.

Ibrahimu ndiye baba wa Isaka, Isaka baba wa Esau ambaye jina lingine huyu Esau anaitwa Edomu na pia ni baba wa Yakobo ambaye jina lake lingine anaitwa Israel.

Tangu hapo vizazi vingi vimepita mpaka kuja kuzaliwa mfalme Suleiman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…