Ni sawa kufanya tohara? Kwanini muumba aliweka govi?

muumba huyohuyo alimwambia Ibrahim atoe mkuu, na alitoa akiwa mzee kabisa. hivyo nenda tu hospitali kakate.
 
muumba huyohuyo alimwambia Ibrahim atoe mkuu, na alitoa akiwa mzee kabisa. hivyo nenda tu hospitali kakate.
Mkuu mi sina ilo dude, wazazi wangu walishafanya maamuzi kwa niaba yangu enzi hizo kabla sijaju lolote....
I wish wangesubir nijue.
 
Mkono wa sweta unahifadhi uchafu, UTOKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…