Uchaguzi 2020 Ni sawa Tanzania kuwa na idadi ya wapiga kura milioni 29 mwaka huu?

Uchaguzi 2020 Ni sawa Tanzania kuwa na idadi ya wapiga kura milioni 29 mwaka huu?

Securelens

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
316
Reaction score
541
Kuna baadhi ya watu humu JF wamekuwa wakihoji idadi ya wapiga kura kuwa milioni 29 mwaka huu na kueneza dhana potofu ya kuwepo kwa wapiga kura hewa. Si kweli hata kidogo.

Idadi ya wapiga kura walioandishwa mwaka 2015 ilikuwa ni 23,161,440 (22,658247 kwa Tanzania bara na 503193 kwa Zanzibar). Hivyo ni jambo la kawaida kuwa na ongezeko hilo kwa miaka mitano na kufikia jumla ya wapiga kura halali 29,804,992 kwa Tanzania bara na Zanzibar kwa mwaka huu.

Tukumbuke population growth ya Tanzania ni kati ya 2.5-3% kila mwaka. Hivyo tuachane na fikra zozote potofu za kuwepo kwa wapigakura hewa. Vyama vilivyotoa madai hayo hadi sasa vimeshindwa kutoa hata chembe ya ushahidi.

Muhimu tuhamasishane wote tuliojiandikisha tukapige kura na tumchague Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa ajili ya maendeleo yetu na ustawi wa taifa letu.
 
Ni sawa kabisa
20201026_083912.jpg


Angalia wapiga kura wa CCM
 
Amini Maneno yangu CCM inashindwa vibaya sana, zaidi ya gunia la mchanga siyo kwa sababu hawaipendi CCM bali kwa sababu .hawampendi John Pombe Magufuli. richa ya kuwa hana haiba ya uongozi hayumo kwenye mioyo ya watanzania na Dunia zaidi ya wanafiki hkn mnafiki mbaya km mtanzania.

Ana kiburi cha kishamba sana huyu Jamaa.Nape alikuwa sahihi.
 
Hao wanachama wametoka wapi? Au unahesabu na watoto wanaopewa kadi nyakati za chaguzi wakapige kura?
Acheni kujidanganya
Wanachama wametoka mbinguni! Yaani Mimi nianze kubishana na wewe kwamba wanachama wanatoka wapi ! Umeanza leo kufatilia Siasa ? Au unafikili nchi hii kila mtu CHADEMA!
 
Kweli akili ni nywele. Sasa hao wanachama wa CCM una uhakika wote wataipigia CCM ?
Sasa kwa nini wasiipigie kura CCM ?? Au unafikili kura zinaokotwa ,CCM inaposema itashinda vigezo wanavyo! Ninyi mna vigezo vipi vya kushinda??
 
CCM inatafuta kura milion 7 zilizobaki
Hahaha asee kweli mtaji wa ccm ni ujinga..Yani kitendo cha kushindwa hata kuargue Ni tatzo mkuu..Ungejiuliza kwamba Kama wanna uhakika wa 22mil voter mbna wanna teseka
 
Hahaha asee kweli mtaji wa CCM ni ujinga..Yani kitendo cha kushindwa hata kuargue Ni tatzo mkuu..Ungejiuliza kwamba Kama wanna uhakika wa 22mil voter mbona wanna teseka
Mkuu CCM inatafuta kura miioni 7 zilizobaki ambazo tutagawana na vyama vyote vilivyosalia na kwa kampeni za kisayansi tulizofanya tuna uhakika wa kupata angalau mamilioni 4 tena au tano ya hao. Ni mahesabu tu
 
Mkuu CCM inatafuta kura miioni 7 zilizobaki ambazo tutagawana na vyama vyote vilivyosalia na kwa kampeni za kisayansi tulizofanya tuna uhakika wa kupata angalau mamilioni 4 tena au tano ya hao. Ni mahesabu tu
Jomba CCM haina wanachama 17mil nimnashindwa kuelewa ccm imegawa kadi 17mil...Tunza haya maneno na baada ya mchakato kumalizika utajua ulikuwa unashikiwa akili..

#akili ndogo mtaji wa ccm
 
USIYO YAJUA KUHUSU ZANZIBAR YANAYOENDELEA.

Kwa Mjibu wa taarifa iliyotolewa na ACT WAZALENDO kupitia akaunti zao rasmi za Twitter :

1. Jumla ya watu 10 naam hadi 12 huko Pemba wamepigwa risasi na kuuliwa.

2. Watu 9 wamepigwa risasi na wana majeraha makubwa

3. Maalim Seif Sharif Hamad amekamatwa na Jeshi la polisi akiwa Kituo cha kupigia kura cha Garagara amekamatwa na anashikiliwa Makao Makuu ya Polisi Zanzibar
 
Amini Maneno yangu CCM inashindwa vibaya sana, zaidi ya gunia la mchanga siyo kwa sababu hawaipendi CCM bali kwa sababu .hawampendi John Pombe Magufuli. richa ya kuwa hana haiba ya uongozi hayumo kwenye mioyo ya watanzania na Dunia zaidi ya wanafiki hkn mnafiki mbaya km mtanzania.

Ana kiburi cha kishamba sana huyu Jamaa.Nape alikuwa sahihi.
Magufuli anakwambia maendeleo hayana chamaaaaa
Akigeuza kichwa
Anakwambia ili upate maendeleo lazima muwachague maccm.

Hizi phd za kibongo ni mchosho sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USIYO YAJUA KUHUSU ZANZIBAR YANAYOENDELEA.

Kwa Mjibu wa taarifa iliyotolewa na ACT WAZALENDO kupitia akaunti zao rasmi za Twitter :

1. Jumla ya watu 10 naam hadi 12 huko Pemba wamepigwa risasi na kuuliwa.

2. Watu 9 wampigwa risasi na wana majeraha makubwa

3. Maalim Seif Seif Sharif Hamad amekamatwa na Jeshi la polisi akiwa Kituo cha kupigia kura cha Garagara amekamatwa na anashikiliwa Makao Makuu ya Polisi Zan

Ndiyo maana mnaambiwa msikubali kutumiwa na wanasiasa. Leo hao watanzania wenzetu wamepoteza maisha kwa kusukumwa na wanasiasa na maisha ya wanasiasa yanaendelea. Usikubali usikubali wanasiasa wanaotumia damu za watanzania kupata madaraka. Shame on ACT. Watanzania tuchague CCM iendelee kudumisha amani.
 
Amini Maneno yangu CCM inashindwa vibaya sana, zaidi ya gunia la mchanga siyo kwa sababu hawaipendi CCM bali kwa sababu .hawampendi John Pombe Magufuli. richa ya kuwa hana haiba ya uongozi hayumo kwenye mioyo ya watanzania na Dunia zaidi ya wanafiki hkn mnafiki mbaya km mtanzania.

Ana kiburi cha kishamba sana huyu Jamaa.Nape alikuwa sahihi.
Bangi kidogo tu unajichomoa ubongo.
 
Ndiyo maana mnaambiwa msikubali kutumiwa na wanasiasa. Leo hao watanzania wenzetu wamepoteza maisha kwa kusukumwa na wanasiasa na maisha ya wanasiasa yanaendelea. Usikubali usikubali wanasiasa wanaotumia damu za watanzania kupata madaraka. Shame on ACT. Watanzania tuchague CCM iendelee kudumisha amani.
Wote tusipokubali tunawapa CCM kibali cha kutukandamiza. Miaka 60 baada ya uhuru tunakosa mahitaji muhimu ya binadamu ilhali kodi tunalipa
 
Hata kura ya mama Jesca haipati mwaka huu
Kujifariji wakati mwingine ni muhimu kwa ajili ya afya yako kuzuia pressure kabla ya matokeo kutangazwa. Hakikisha muda wote uko karibu na wanaoweza kukusaidia ukizidiwa. Maji ya JPM ni mazito
 
Ndiyo maana mnaambiwa msikubali kutumiwa na wanasiasa. Leo hao watanzania wenzetu wamepoteza maisha kwa kusukumwa na wanasiasa na maisha ya wanasiasa yanaendelea. Usikubali usikubali wanasiasa wanaotumia damu za watanzania kupata madaraka. Shame on ACT. Watanzania tuchague CCM iendelee kudumisha amani.
Kwa hiyo unawalaumu machifu walioanza kumpinga mkoloni mpaka tukapata uhuru! Inaelekea unaupenda sana utumwa na kutawaliwa.
 
Back
Top Bottom