Securelens
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 316
- 541
- Thread starter
-
- #21
Machifu wetu hawakupigana kwa ajili ya uchu wao wa kutawala bali kukomboa watu wao dhidi ya wakoloni. Ndivyo anavyofanya Dkt Magufuli anaipigania Tanzania dhidi ya mabeberu wa nje ambao tayari wameleta wakala wao kugombea urais kwa lengo la kunufaika na rasilimali zetu. Tumkatae kabisa na tubaki na Tanzania yetu iliyo chini yetu na watoto wetu.Kwa hiyo unawalaumu machifu walioanza kumpinga mkoloni mpaka tukapata uhuru! Inaelekea unaupenda sana utumwa na kutawaliwa.
Hauwajui machifu, walikuwa wanawavamia machifu wa makabila mengine kama afanyavyo unayemtetea, usilete historia za kutunga.Machifu wetu hawakupigana kwa ajili ya uchu wao wa kutawala bali kukomboa watu wao dhidi ya wakoloni. Ndivyo anavyofanya Dkt Magufuli anaipigania Tanzania dhidi ya mabeberu wa nje ambao tayari wameleta wakala wao kugombea urais kwa lengo la kunufaika na rasilimali zetu. Tumkatae kabisa na tubaki na Tanzania yetu iliyo chini yetu na watoto wetu.
Mkuu achana na mwakilishi mkazi wa mabeberu huyo. Hana msaada wowote kwako. Ataiuza Tanzania.Hauwajui machifu, walikuwa wanawavamia machifu wa makabila mengine kama afanyavyo unayemtetea, usilete historia za kutunga.
Brother ogopa sana ccm wanapo amua kufanya jambo Lao Ata kama mmgombea hawampend ila hawatasita kupigia kula Nakwambia hivyo lazima wao Wana angalia kijan ipo wap wa naweka tiki hawany mambo mengiAmini Maneno yangu CCM inashindwa vibaya sana, zaidi ya gunia la mchanga siyo kwa sababu hawaipendi CCM bali kwa sababu .hawampendi John Pombe Magufuli. richa ya kuwa hana haiba ya uongozi hayumo kwenye mioyo ya watanzania na Dunia zaidi ya wanafiki hkn mnafiki mbaya km mtanzania.
Ana kiburi cha kishamba sana huyu Jamaa.Nape alikuwa sahihi.