Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #41
Mbona Wana posho mzuri asa walimu mkuuWalimu wananjaa sana lakini ni watu muhimu wanafundisha watoto wetu
Haya Mwalimu wa zamukweli walimu mnamoyo na pepo ni yenu, oneni vijana mliowafundisha kusoma na kuandika wanavyotumia ujuzi huo kuwazodoa na huku wakijua kabisa uhalisia wa kipato chenu. Cha ajabu kesho mwalimu kama kawaida kiroho safi na nguvu zote bila kinyongo anaingia class kumfundisha kujua kuandika na kusoma mzodozi wake wa baadae.
OkayMimi binafsi nimefurahi sana baada ya kuona watumishi walioomba kazi ya Sensa wame wakatwa majina yao.
Hii inaonesha dalili nzuri ya kutoa nafasi kwa vijana ambao bado hawana ajira wajipatie mitaji yao na Zaidi kutokana na fursa zinazotolewa na serikali.
We umeajiriwa una uhakika wa hela kila mwisho wa mwezi na haka kakazi ka sikumbili Tena unakitaka, mimi nasema good job.
Ipo vita Kali kati ya wasio na ajira dhidi ya wenye ajira... Mtu unaweza kufikiria mwenye ajira ndie amezuia fursa za ajira...!!!!!!kweli walimu mnamoyo na pepo ni yenu, oneni vijana mliowafundisha kusoma na kuandika wanavyotumia ujuzi huo kuwazodoa na huku wakijua kabisa uhalisia wa kipato chenu. Cha ajabu kesho mwalimu kama kawaida kiroho safi na nguvu zote bila kinyongo anaingia class kumfundisha kujua kuandika na kusoma mzodozi wake wa baadae.