Ni sawa Watumishi kukatwa kwenye zoezi la Sensa 2022

Ni sawa Watumishi kukatwa kwenye zoezi la Sensa 2022

kweli walimu mnamoyo na pepo ni yenu, oneni vijana mliowafundisha kusoma na kuandika wanavyotumia ujuzi huo kuwazodoa na huku wakijua kabisa uhalisia wa kipato chenu. Cha ajabu kesho mwalimu kama kawaida kiroho safi na nguvu zote bila kinyongo anaingia class kumfundisha kujua kuandika na kusoma mzodozi wake wa baadae.
 
kweli walimu mnamoyo na pepo ni yenu, oneni vijana mliowafundisha kusoma na kuandika wanavyotumia ujuzi huo kuwazodoa na huku wakijua kabisa uhalisia wa kipato chenu. Cha ajabu kesho mwalimu kama kawaida kiroho safi na nguvu zote bila kinyongo anaingia class kumfundisha kujua kuandika na kusoma mzodozi wake wa baadae.
Haya Mwalimu wa zamu
 
Mimi binafsi nimefurahi sana baada ya kuona watumishi walioomba kazi ya Sensa wame wakatwa majina yao.

Hii inaonesha dalili nzuri ya kutoa nafasi kwa vijana ambao bado hawana ajira wajipatie mitaji yao na Zaidi kutokana na fursa zinazotolewa na serikali.

We umeajiriwa una uhakika wa hela kila mwisho wa mwezi na haka kakazi ka sikumbili Tena unakitaka, mimi nasema good job.
Okay
 
kweli walimu mnamoyo na pepo ni yenu, oneni vijana mliowafundisha kusoma na kuandika wanavyotumia ujuzi huo kuwazodoa na huku wakijua kabisa uhalisia wa kipato chenu. Cha ajabu kesho mwalimu kama kawaida kiroho safi na nguvu zote bila kinyongo anaingia class kumfundisha kujua kuandika na kusoma mzodozi wake wa baadae.
Ipo vita Kali kati ya wasio na ajira dhidi ya wenye ajira... Mtu unaweza kufikiria mwenye ajira ndie amezuia fursa za ajira...!!!!!!
 
Back
Top Bottom