mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
Ni kweli uliowazi kuwa mataifa makubwa haya matatu ya Marekani ,Urusi na China yanakimbizana na kupishana Afrika kijaribu kuongeza ushawishi wao kisiasa na kuongeza ushirikiano pamoja na kukuza biashara.
Ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani ni hauko mbali na malengo hayo. Kila mtu atakuja kwa wakati wake fursa zake
Alichofanya Waziri Chana leo kukutana na Balozi wa Urusi nchi siku ambayo ugeni wa makamu wa Rais wa Marekani ni kitendo cha makusudi kabisa dhidi ya ugeni unaokuja.
Sisi sera yetu hatufungamani na upande wowote tangu awamu ya kwanza hata sasa ndio maama tulijitenga na kura ya kutaka Urusi ichukuliwe hatua kutokana na vita yake dhidi ya Ukraine. Hivyo hakuna haja ya sisi kujaribu kutia doa kuonesha kuwa tuko na fulani hata ujuo wako sio muhimu.
Ukisoma CV ya Waziri Chana amesoma na kufanya kazi Urusi ( kwa mwaka 1) hivyo inaweza kuwa ana mlengo wa kisiasa unaofanana na huko na hivyo kutopendezwa na ujio wa mgeni wetu huyu. Ushindani wa kuharibiana na muendelezo wa 'cold war' tuwaachie wao wenyewe sisi tubaki kusikiliza na kutoonesha kufungamana na upande wowote
Tangu lini Urusi wamekuwa na shauku na mchezo wetu wa Soka hapa Tanzania mpaka leo wakafika uwanja wa Taifa na kuonana ma waziri wa Michezo uwanjani
Ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani ni hauko mbali na malengo hayo. Kila mtu atakuja kwa wakati wake fursa zake
Alichofanya Waziri Chana leo kukutana na Balozi wa Urusi nchi siku ambayo ugeni wa makamu wa Rais wa Marekani ni kitendo cha makusudi kabisa dhidi ya ugeni unaokuja.
Sisi sera yetu hatufungamani na upande wowote tangu awamu ya kwanza hata sasa ndio maama tulijitenga na kura ya kutaka Urusi ichukuliwe hatua kutokana na vita yake dhidi ya Ukraine. Hivyo hakuna haja ya sisi kujaribu kutia doa kuonesha kuwa tuko na fulani hata ujuo wako sio muhimu.
Ukisoma CV ya Waziri Chana amesoma na kufanya kazi Urusi ( kwa mwaka 1) hivyo inaweza kuwa ana mlengo wa kisiasa unaofanana na huko na hivyo kutopendezwa na ujio wa mgeni wetu huyu. Ushindani wa kuharibiana na muendelezo wa 'cold war' tuwaachie wao wenyewe sisi tubaki kusikiliza na kutoonesha kufungamana na upande wowote
Tangu lini Urusi wamekuwa na shauku na mchezo wetu wa Soka hapa Tanzania mpaka leo wakafika uwanja wa Taifa na kuonana ma waziri wa Michezo uwanjani