Ni sawa Waziri Chana kukutana na Balozi wa Urusi leo wakati tunapokea ugeni wa Makamu wa Rais wa Marekani?

Ni sawa Waziri Chana kukutana na Balozi wa Urusi leo wakati tunapokea ugeni wa Makamu wa Rais wa Marekani?

Sawa Sawa Mjomba lakini mkubwa wako anavyojiandaa ugeni na wewe katikati unapokea ugeni ku antagonise ugeni wa mkubwa wako ni sawa?
Hakuna tatizo lolote kwasababu ule ni ugeni wa kitaifa, ziara ya kitaifa ya kiserikali, ugeni wa Waziri ni ministerial tuu, hauna tatizo lolote!. Tena after the end of the cold war, there's no any antagonism between the East and the West.
P
 
Ni kweli uliowazi kuwa mataifa makubwa haya matatu ya Marekani ,Urusi na China yanakimbizana na kupishana Afrika kijaribu kuongeza ushawishi wao kisiasa na kuongeza ushirikiano pamoja na kukuza biashara.

Ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani ni hauko mbali na malengo hayo. Kila mtu atakuja kwa wakati wake fursa zake

Alichofanya Waziri Chana leo kukutana na Balozi wa Urusi nchi siku ambayo ugeni wa makamu wa Rais wa Marekani ni kitendo cha makusudi kabisa dhidi ya ugeni unaokuja.

Sisi sera yetu hatufungamani na upande wowote tangu awamu ya kwanza hata sasa ndio maama tulijitenga na kura ya kutaka Urusi ichukuliwe hatua kutokana na vita yake dhidi ya Ukraine. Hivyo hakuna haja ya sisi kujaribu kutia doa kuonesha kuwa tuko na fulani hata ujuo wako sio muhimu.

Ukisoma CV ya Waziri Chana amesoma na kufanya kazi Urusi ( kwa mwaka 1) hivyo inaweza kuwa ana mlengo wa kisiasa unaofanana na huko na hivyo kutopendezwa na ujio wa mgeni wetu huyu. Ushindani wa kuharibiana na muendelezo wa 'cold war' tuwaachie wao wenyewe sisi tubaki kusikiliza na kutoonesha kufungamana na upande wowote

Tangu lini Urusi wamekuwa na shauku na mchezo wetu wa Soka hapa Tanzania mpaka leo wakafika uwanja wa Taifa na kuonana ma waziri wa Michezo uwanjani
Hadithi yako umejijibu mwenyewe katika paragraph ya nne. Kina Julius Nyerere, Josip Broz Tito na wengine walishatuepusha na hayo mambo sijui nikiongea na magharibi basi mashariki watanuna. Mambo yao hayatuhusu. Wamegombana wenyewe na wataelewana wenyewe. 🙏🙏🙏
 
Ila nimependa sana alivyopokewa na makamu wa rais mpango
 
Ni kweli uliowazi kuwa mataifa makubwa haya matatu ya Marekani ,Urusi na China yanakimbizana na kupishana Afrika kijaribu kuongeza ushawishi wao kisiasa na kuongeza ushirikiano pamoja na kukuza biashara.

Ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani ni hauko mbali na malengo hayo. Kila mtu atakuja kwa wakati wake fursa zake

Alichofanya Waziri Chana leo kukutana na Balozi wa Urusi nchi siku ambayo ugeni wa makamu wa Rais wa Marekani ni kitendo cha makusudi kabisa dhidi ya ugeni unaokuja.

Sisi sera yetu hatufungamani na upande wowote tangu awamu ya kwanza hata sasa ndio maama tulijitenga na kura ya kutaka Urusi ichukuliwe hatua kutokana na vita yake dhidi ya Ukraine. Hivyo hakuna haja ya sisi kujaribu kutia doa kuonesha kuwa tuko na fulani hata ujuo wako sio muhimu.

Ukisoma CV ya Waziri Chana amesoma na kufanya kazi Urusi ( kwa mwaka 1) hivyo inaweza kuwa ana mlengo wa kisiasa unaofanana na huko na hivyo kutopendezwa na ujio wa mgeni wetu huyu. Ushindani wa kuharibiana na muendelezo wa 'cold war' tuwaachie wao wenyewe sisi tubaki kusikiliza na kutoonesha kufungamana na upande wowote

Tangu lini Urusi wamekuwa na shauku na mchezo wetu wa Soka hapa Tanzania mpaka leo wakafika uwanja wa Taifa na kuonana ma waziri wa Michezo uwanjani
Ningependa kujua zaidi huyo Balozi na Waziri walikutana uwanjani kwa shughuli gani?
 
Ni kweli uliowazi kuwa mataifa makubwa haya matatu ya Marekani ,Urusi na China yanakimbizana na kupishana Afrika kijaribu kuongeza ushawishi wao kisiasa na kuongeza ushirikiano pamoja na kukuza biashara.

Ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani ni hauko mbali na malengo hayo. Kila mtu atakuja kwa wakati wake fursa zake

Alichofanya Waziri Chana leo kukutana na Balozi wa Urusi nchi siku ambayo ugeni wa makamu wa Rais wa Marekani ni kitendo cha makusudi kabisa dhidi ya ugeni unaokuja.

Sisi sera yetu hatufungamani na upande wowote tangu awamu ya kwanza hata sasa ndio maama tulijitenga na kura ya kutaka Urusi ichukuliwe hatua kutokana na vita yake dhidi ya Ukraine. Hivyo hakuna haja ya sisi kujaribu kutia doa kuonesha kuwa tuko na fulani hata ujuo wako sio muhimu.

Ukisoma CV ya Waziri Chana amesoma na kufanya kazi Urusi ( kwa mwaka 1) hivyo inaweza kuwa ana mlengo wa kisiasa unaofanana na huko na hivyo kutopendezwa na ujio wa mgeni wetu huyu. Ushindani wa kuharibiana na muendelezo wa 'cold war' tuwaachie wao wenyewe sisi tubaki kusikiliza na kutoonesha kufungamana na upande wowote

Tangu lini Urusi wamekuwa na shauku na mchezo wetu wa Soka hapa Tanzania mpaka leo wakafika uwanja wa Taifa na kuonana ma waziri wa Michezo uwanjani
Hauna hoja. Kwahiyo ratiba zingine za nchi zisimame kisa kamala yuko Dar
 
Hakuna tatizo lolote kwasababu ule ni ugeni wa kitaifa, ziara ya kitaifa ya kiserikali, ugeni wa Waziri ni ministerial tuu, hauna tatizo lolote!. Tena after the end of the cold war, there's no any antagonism between the East and the West.
P
Brother PASCO.
The issue of Antagonism bado IPO mkuu, tena imegawanyika west camp under USA and East Camp under China. IPO Ila Kwa Africa, China keshakaaa tayari, USA KAZI ANAYO KWA AFRICA

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Huyu balozi wa Urusi anaitwa "Andrew".
Halafu,balozi wa Ukraine pia anaitwa"Andrew".
 
Back
Top Bottom