Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Hakuna tatizo lolote kwasababu ule ni ugeni wa kitaifa, ziara ya kitaifa ya kiserikali, ugeni wa Waziri ni ministerial tuu, hauna tatizo lolote!. Tena after the end of the cold war, there's no any antagonism between the East and the West.Sawa Sawa Mjomba lakini mkubwa wako anavyojiandaa ugeni na wewe katikati unapokea ugeni ku antagonise ugeni wa mkubwa wako ni sawa?
P