Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Mkuu nyie ndiyo mlichoma shule😂Mwakaleli sec. Mbona pana barid la kawaida tu ,vipi ungepangwa makete si ungekufa wewe.
Me nimesoma hapo mwaka2009- 2011 niliinjoy Sana life la mwakaleli sec.
Matamba ,isange ,kandete vilikua viwanja vyangu sana.
Napamic Sana
Ndani kuna shimo. Refuuu.Hivi kule Dodoma zile nyumba za udongo fupi, watu wanaingiaje Na wanaishije kule? Yani nyumba ya udongo fupi kuliko kibanda cha mbwa
Weye nae hujayaishi ui iii maisha ya ushuani weye.......Labda Mzungu!!!........ lkn hawa wala ugali hawa?? kwani Bibi/shangazi/ mjomba/rafiki huko mahurunga wa kijijni hawaendagi wakayaonaaa??Kuna watoto wamezaliwa masaki hiz habar wanafikir ni nyakat zile za nuhu
Ila hivi ndio vyakula vinavyoupa mwili nguvuSiku moja niko na jamaa yangu tunatafuta mashamba ya kukodi ya alizeti tulikua na mwenyeji anatutembeza mashambani. Mchana tunataka kurudi mwenyeji akatuambia twende kwanza kwake tule ndio tuondoke. Tukaona si mbaya.
Tumefika tukaenda sebuleni Chakula kikaja nikasahau kabisa kama Chakula chao kikuu ni mlenda.
Bwana bwana ulikuja ugali mgumu na mlenda mimi nilikua sijawahi kula mlenda wala ugali wa mtama😅
Nilihangaika mwenye ananiambia mbona hauli au chakula kibaya? Mimi naguna guna tu😂, nilishwindwa kula aisee ilibidi nikaupiga picha hii hapa chini.
Yaani utadhani unakula hina. Watu wanawakiwa na jua huko ndio maana miguu yao imekomaa halafu myembamba kama mianzi imechomekwa kwenye mapaja 🏃🏃View attachment 2379797
Kwa hiyo miaka ni agemate wangu, advance nimemaliza 2011 pia,Minaki Sec, pale ilikua joto tu na maji yenye fangasi sijui, pumbu zinawasha mpaka unataka uzitoe.hahahMwakaleli sec. Mbona pana barid la kawaida tu ,vipi ungepangwa makete si ungekufa wewe.
Me nimesoma hapo mwaka2009- 2011 niliinjoy Sana life la mwakaleli sec.
Matamba ,isange ,kandete vilikua viwanja vyangu sana.
Napamic Sana
Kabisa, sijui ni kukulia kijijini mm sijawahi shindwa kula msosi wowote..napenda sana,..kutokula au kutofurahia chakula cha mwenyeji, wako kinamlostisha sana wkt yeye anaishi humo daily..nabadilika na mazingira, kuna sehemu unanikuta nipo ovyo ila tukianza kuongea kama una akili unaanza elewa mtu huyu anaidea idea kidg..Ila hivi ndio vyakula vinavyoupa mwili nguvu
Habari za muda huu wana JF,
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndo kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndo kwao, vurugu Sasa ndo chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafikina timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na uko huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
Pole!Yani Mkuuu mim nikiona joka naweza Kata moto Ile siku sitasahau....... siku tatu nkaona mwezi
Sasa kalya je daa watu wanaishi porini jamaniIlunde Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Kijiji kipo Porini, Kilomita 70 toka makao makuu ya Wilaya ya Mlele. Hakuna network wala nini na ni Porini hasa. Sijui walifuata nini kule.
Mbona katavi pazuri umefika kibondo na kakongo kigoma mzeeMpanda katavi....mji wa hovyo sana ule
AsantePole!
Walifuata mashamba ya mpungaBora hata mpanda, kuna mahali panaitwa MAJIMOTO aisee huko nilipoenda nilijiuliza qatu wamefuata nini, na wengi wao ni wasukuma kule...Ajabu ni kwamba they are making money ile hatari. Ni matajiri wa kutupwa kutokana na kilimo ufugaji na madini.
Wenyewe wana sema: WALWA, NYAMA NA NEW YORK.Sijui kwa nini ule mkoa mpka leo ni maji ya chumvi sio bombani sio kisimani hakuna fresh water kabisa we tazama tu meno yao labda uende dutwa unaweza bahatisha
Na wasukuma wanapenda nyama sana
Kama isingekuwajitihada za Mzee Msuya, usafiri ungekuwa wa shida kule Usangi.Lami ipo mpaka Usangi mbele ya Lomwe Secondary. Magari kama daladala muda wote unashuka mwanga. Bodaboda kibao zinakatisha tu milimani. Umeme, maji ya bomba vipo toka zamani. Shule ni nyingi balaa.
Katavi hapana vijiji vingi vinanyumba zilizobora maji Sasa hivi serikali imejitahidi Sana kwa huduma hiiMtwara hakuna vijiji vibaya sana, ni moja ya mikoa ambayo vijiji vyake unakutana na NYUMBA nyingi kabisa, wanakuwa na Soko, maduka yanakuwepo. Kule 90% ya vijiji magari yanafika, nyumba nyingi ni zile za udongo lkn zenye bati na kubwa sio kama vijiji vya kule DODOMA Jmn hadi unajiuliza wanalalaje mule?? Sijui ilikuwaje lkn Mtwara kwenye vijiji wako far better than 80% ya mikoa ya TZ.
Kwangu mimi mikoa ambayo ni ya kijinga zaidi ni DODOMA, KIGOMA, MANYARA, KATAVI, SHINYANGA, MARA na SINGIDA bila kusahau MOROGORO, hiyo mikoa ina vijiji vya ajabu sana sana sana sana.
Na barabara ipo vizuriPawaga nishawahi fika mbona pazuri tu na pamechangamka