Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Duuuu hatari Sana Kama maeneo ya Igogo na Mabatini hiviiii
 
Izimbya ni sehemu ambayo ipo tofauti na maeneo mengi ya mkoa wa Kagera pakame, migomba haina afya, ardhi haina rutuba, huduma za kijamii zipo kww manati, nilistaajabu sana kwa waliouzunguka mkoa huo watakubaliana na mimi
 
Kijiji cha Chimendeli, wilaya ya Bahi Mkoa WA Dodoma.


Sijui kule watu Wanaishi vipi. Unaweza Kudhani uko Somalia au Afghanistan.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Dodoma ni hatari ,kuna vijiji vinapatikana shortcut (mpwapwa to Iringa road)
Imagine hadi wakiona gari wanakimbia,ilibidi tushuke kwanza tuwauulize maswali ya hapa na pale kuhusu maji,chakula maana Hamna mazao kabisa na vumbi linatimka muda wote ,watoto wamebabuka hatari unahisi hata wakipiga maji hawatakati,kiswahili pia shida
 
Kijiji cha Bugamba Kigoma vijijini mwambao wa ziwa Tanganyika
 
Hahah..hi ngoma ni kishiri kama sikosei
 
Ilunde Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Kijiji kipo Porini, Kilomita 70 toka makao makuu ya Wilaya ya Mlele. Hakuna network wala nini na ni Porini hasa. Sijui walifuata nini kule.
Tanzania hii ni kubwa sana nashangaa watu kujilinganisha na Rwanda, na Kenya kimaendeleo wakati hizo nchi zinaingia mara mbili kwa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…