Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Uwe unataja Kijiji, kata , wilaya , na mkoa ili watu waelewe unazungumzia eneo gani , sasa kyagata ndio nini na ndio wapi?
 
[emoji1][emoji1]

Dodoma ninadhani ndio mkoa unaongoza Kwa mazingira magumu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nilipanda mlima uluguru nikakuta waluguru huko juu Tena wanavijiji vyao Hali ya hewa ilikuwa nzuri ila huduma za kijamii Hadi uteremke mlima, binafsi nilishuka miguu inatetemeka na maumivu makali mno. Mpaka Leo nawashangaa watu Kule wanavyoishi
 
Upareni kule juu au Lutindi Korogwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…