Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Vijiji vingi vya wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu utashangaa wasukuma Sijui walifata nini huko, unakuta kijiji hakina umeme Wala maji. Yaan Maji yao wanachimba mabwawa kipindi cha mvua Maji yanatuama humo basi ng’ombe na binadam wote ndo mnakunywa Maji hayo!! Maji Kama maziwa kuna wachawi huko sijapata ona!! Wanga wananza kuwanga saa moja jioni!! [emoji2][emoji2]
Huko unakuta msukuma ana ng’ombe 50-100 ila anakula ugali na dagaa wa mwanza wale gredi ya mwisho kabisa ambao huwa kwaajili ya vyakula vya Kuku!![emoji2][emoji2] huko ikifika saa 12 jioni tembo kutoka serengeti wanaingia kijiji kula miwa[emoji23][emoji23]
Kwenda zako huko 😁😁😁🖐
 
Hiyo kitu Mkuu niilikuta Galanos tulikuwa tunaita erosion, tulikuwa tunatumia kidawa flani cha chupa ya kijani,kende utatamani uzinyofoe.
Pumbu erosion ilikuwa usagara sec tanga....sasa galanosi si baridi kiasi ila galanosi ni kijijini nilikuwa naona bora mi wa hapa mjini usagara.
 
Kuna mtu aliwahi niambia zamani kidogo huko usukumani kuna vijiji walikuwa wanapeleka viatu, nguo na bidhaa nyingine nyingi, sasa mtu akihitaji kununua kiatu, yaani kakipenda anakuuliza huu mguu mmoja wa kiatu shingapi na huu mwingine shingapi yaani hajui kinauzwa kwa pair.

sasa picha linaanza anakupa pesa burungutu anakwambia toa hapo pesa zako za viatu maana yeye hajui kuhesabu pesa 😅😅😅😅
 
Mwanza miambani wananoishi watia huruma sana japo wao wanaona wamepata viwanja city centre.

Huwa najiuliza walishindwaje kuweka makazi Usagara, Misungwi na Magu badala ya kubanana kwenye mawe kama mijusi ambako kupanda ni shida na inaweza kuchukulia lisaa kwenda sehemu unayoiona kwa mbele tu hapo.

View attachment 2378247
Mkuu bei laki Tano TU huko milimani. ukienda usagara 3m
 
Ngorongoro panatisha. Unafika maeneo ni pakame, upepo mkali na unapishana na wanyamapori.
 
Habari za muda huu wana JF,

Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya

Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?

Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.

Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.

Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?

kibondo kigoma yani, ilikua mwaka 2015 , kwanza kufika uko ni barrier za maana tulikutana nazo barabarani adi nikajiuliza ivi uku ni Tanzania au nchi nyingine.
 
Yani kwa ukubwa wa Tanzania na mapori yaliyopo hayana watu..kuja kuijaza sio leo...hata tuzaanaje...
 
Habari za muda huu wana JF,

Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya

Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?

Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.

Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.

Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
wapare kule milimani
 
Mwakaleli ndio chimbuko la Wanyakyusa wengi. Ni kuzuri mno kutokana na mandhari yake, watu wake wakarimu na wacha Mungu, hali ya hewa safi na mito mingi yenye maji safi na chemchemi kila mahali. Ni Kaanani yetu!
Ni Kweli Ni maharufu San hicho kijij na wengi ni wa lutheri Seema saasa Kuna wachawi sna pale ukicheza unabebeshwa mimba
 
Mkoa wa Kilimanjaro
Wilaya ya Same kuna kijiji kinaitwa Chambogo......kipo kule juu ya milima kabisa..... unaweza kufika kupitia kijiji cha Mwembe barazani au Nasuro kutokea njia ya Same Wilayani........

Ukiwa pia pale Mwembe barazani kuna kijiji kule juu njia ya mbaga kinaitwa Kwainka....huko unashangaa watu walifuata nini huko kote......
 
Back
Top Bottom