Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Nimezunguka sehemu kibao watu wanaishi sehemu ambazo ukifika
Unajiuliza walifikaje huko na kuanza maisha milimani
Wengine ukiongea nao wanakuambia enzi za nguvu kazi
Watu ndiyo walipoanza kukimbiaa

Ova
Hatarii mkuu Kuna watu wanaishi milimani Turiani ni hatarrr mpaka unajiuliza sijui walifikaji sijui walidondoka? Hata ukiumwa hakuna barabara hakufikiki kirahisi Ni Kama kisiwa.
 
Hahahahaha nimecheka sana
 
Huu uzi ni toka 2022 ni mzuri unafurahisha na kuhuzunisha pia..nilipoanza page 1 nikajikuta namalizia zote 46.mpk sasa zilipofikia...HAKIKA TANZANIA NI KUBWA NA WATU WANAISHI MBALI SANA TENA KATIKA MAZINGIRA YA KUSHANGAZA.🙌🙌
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mwakaleli- Tukuyu Mbeya. Aisee baridi lilinishinda pale Mwax sec.
Acha uongo mwakaleli huduma za kijamii zote zipo baridi ikikushinda wewe siyo kigezo Cha kushindwa kuishi wengine
Unavyoonesha ukienda Ulaya Utakufa airport
 
Tunda kimasihara[emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…