Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Andrew Chenge.Kaka code bado ngumu kwangu nifungulie kidogo huyo mtu wa havard
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andrew Chenge.Kaka code bado ngumu kwangu nifungulie kidogo huyo mtu wa havard
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kuna watu huko??Kuna sehem huko bagamoyo inaitwa milo yani pori lKe siopoa
Mwanza kubwa wew unaisemea ipiMkuu ujue hapa hutumii nauli kufika mjini unashuka chap uko mjini...
Labda NachingweaKuishi na nyoka Ni kitu Cha kawaida
Hiyo dawa imenitoka jina. Ilikuwa inatusaidia sana Wagalanosi.Hiyo kitu Mkuu niilikuta Galanos tulikuwa tunaita erosion, tulikuwa tunatumia kidawa flani cha chupa ya kijani,kende utatamani uzinyofoe.
Nyandira ukweni kwangu kwa Marehemu mzee Zengwe.Kabla ya Bunduki unapita Mlale Kisha unapanda ule Mlima mrefu kuipata Mgeta Kibaoni, Mgeta Kibaoni Kuna njia Moja inaenda Bunduki na nyingine inaenda Lolo mpaka Nyandira. Bunduki wanafunzi wa sekondari wanatoka mbali na majumbani Kuna Siku wanafunzi wanaenda robo ya Darasa.
Mgeta Kibaoni usiagize supu bila kuuliza Kuna supu ya nguruwe, Gari za Moro Town Kwenda Mgeta kulikuwa na Noah zimeandikwa Mama Mlezi na Toyota Dayna Hiace Double Diff zinaenda mpaka milimani Nyandira, seat ya karibu na dereva nauli ilikuwa inaongezeka elfu 1.
Wilaya ya Mlele, Halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi. Pazuri sana, huko watu wana pesa sana.Majimoto iko wapi hio mkuu?
Kumbe nawe u mshangazi au sofa za ushangazi zimekupita sasa u ajuza?2002 siye ndio tunamaliza la saba
Mbona pazuri huko na jamaa wanalima sana viazi, Alizeti, Mahindi na Njegere. Ni sehemu nzuri, panafikika na karibu na Iringa Mjini mkuu.Kukoje mkuu huko hakuna ulanzi kweli?
Wapo wanaishi kwenye safu za milima ya unguu. Hatari huko.Hatarii mkuu Kuna watu wanaishi milimani Turiani ni hatarrr mpaka unajiuliza sijui walifikaji sijui walidondoka? Hata ukiumwa hakuna barabara hakufikiki kirahisi Ni Kama kisiwa.
HahaaaaaMbona naona wako bien tuu...ushawahi pita pita maeneno ya kuanzia babati kama unaenda Arusha wale watu ndo wa kuwaonea huruma..ndo maana wakabuni nguo ndefu za mashuka maana ule upepo na vigauni vyetu tungejikuta tupo wazi...au shati linaweza jaa upepo ukapaa..yale mashuka ni wind proof...
Washataja Mwanga na Same mkuu.Ni mkoa unamaendeleo sana, nimezunguka vijiji vingi havina hali mbaya sana kama hizi ninazozisikia hapa.
Wasukuma hawana uchawi wa misukule, halafu ulijuaje hapa kwa mchawi hapa kwa mganga acheni kuchafua watu kwa hisia tu.Jamani mkoa wa simiyu hukoooo ndanindani nyumba zilivyojipanga, mchawi mchawi mchawi mganga mganga mganga mganga mfuga misukule mfuga misukule mwenye roho mtu mwema roho mbaya roho mbaya Hadi nikasema hivi shetani hakai kule kweli? Hapa ukienda upande wa kaskazini magharibi inaungia bariadi ndo unakutana na Kijiji funga kazi kinaitwa Gamboshi hiyo ndo mitaa ya JOKA LA MAKENGEZA ndo maana Kuna mtu akauliza mbona hii njemba Kila kashfa ya upigaji lazima alambe Kuna mtu akasema ooh yule ni mwanasheria nguli from havard! Hiyo siyo sababu kwani wakubwa wanajua ukipigwa juju unamfata JOKA anakupeleka huko Gamboga unabinuliwa kichuguu unachanjwa Kisha sangoma anakuweka dole lile kubwa bila kujali cheo wa protoko maana vyote unaviacha dsm kama siyo dom sasa mtu kama huyu Kuna wa kumgusa kweli?
Wewe shida nini?? Ulizania tumezaliwa majuzi kama wewe 2007 sisi tuluzaliwa enzi za uhuru kaa kwa kutulia kidudu weweKumbe nawe u mshangazi au sofa za ushangazi zimekupita sasa u ajuza?
Bunda vijijini,MaraIko kijiji kipo mkoa gani mzee.
Jamani mkoa wa simiyu hukoooo ndanindani nyumba zilivyojipanga, mchawi mchawi mchawi mganga mganga mganga mganga mfuga misukule mfuga misukule mwenye roho mtu mwema roho mbaya roho mbaya Hadi nikasema hivi shetani hakai kule kweli? Hapa ukienda upande wa kaskazini magharibi inaungia bariadi ndo unakutana na Kijiji funga kazi kinaitwa Gamboshi hiyo ndo mitaa ya JOKA LA MAKENGEZA ndo maana Kuna mtu akauliza mbona hii njemba Kila kashfa ya upigaji lazima alambe Kuna mtu akasema ooh yule ni mwanasheria nguli from havard! Hiyo siyo sababu kwani wakubwa wanajua ukipigwa juju unamfata JOKA anakupeleka huko Gamboga unabinuliwa kichuguu unachanjwa Kisha sangoma anakuweka dole lile kubwa bila kujali cheo wa protoko maana vyote unaviacha dsm kama siyo dom sasa mtu kama huyu Kuna wa kumgusa kweli?