Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Kabla ya Bunduki unapita Mlale Kisha unapanda ule Mlima mrefu kuipata Mgeta Kibaoni, Mgeta Kibaoni Kuna njia Moja inaenda Bunduki na nyingine inaenda Lolo mpaka Nyandira. Bunduki wanafunzi wa sekondari wanatoka mbali na majumbani Kuna Siku wanafunzi wanaenda robo ya Darasa.

Mgeta Kibaoni usiagize supu bila kuuliza Kuna supu ya nguruwe, Gari za Moro Town Kwenda Mgeta kulikuwa na Noah zimeandikwa Mama Mlezi na Toyota Dayna Hiace Double Diff zinaenda mpaka milimani Nyandira, seat ya karibu na dereva nauli ilikuwa inaongezeka elfu 1.
Nyandira ukweni kwangu kwa Marehemu mzee Zengwe.
 
Jamani mkoa wa simiyu hukoooo ndanindani nyumba zilivyojipanga, mchawi mchawi mchawi mganga mganga mganga mganga mfuga misukule mfuga misukule mwenye roho mtu mwema roho mbaya roho mbaya Hadi nikasema hivi shetani hakai kule kweli? Hapa ukienda upande wa kaskazini magharibi inaungia bariadi ndo unakutana na Kijiji funga kazi kinaitwa Gamboshi hiyo ndo mitaa ya JOKA LA MAKENGEZA ndo maana Kuna mtu akauliza mbona hii njemba Kila kashfa ya upigaji lazima alambe Kuna mtu akasema ooh yule ni mwanasheria nguli from havard! Hiyo siyo sababu kwani wakubwa wanajua ukipigwa juju unamfata JOKA anakupeleka huko Gamboga unabinuliwa kichuguu unachanjwa Kisha sangoma anakuweka dole lile kubwa bila kujali cheo wa protoko maana vyote unaviacha dsm kama siyo dom sasa mtu kama huyu Kuna wa kumgusa kweli?
Wasukuma hawana uchawi wa misukule, halafu ulijuaje hapa kwa mchawi hapa kwa mganga acheni kuchafua watu kwa hisia tu.
 
Mm sehem inayonishangaza ni moshi yani ukitoka kilometa mbili tu au tatu kutoka mjini unakuta ni kijiji cha maana yani ile maisha ya kijijini kabisa ya bibi na babu juma na roza. [emoji1][emoji1][emoji1]

kwa miji iliyo mingi unakuta vijiji vinakuwa kilometa za kutosha kutoka mjini lakin sio moshi
 
Jamani mkoa wa simiyu hukoooo ndanindani nyumba zilivyojipanga, mchawi mchawi mchawi mganga mganga mganga mganga mfuga misukule mfuga misukule mwenye roho mtu mwema roho mbaya roho mbaya Hadi nikasema hivi shetani hakai kule kweli? Hapa ukienda upande wa kaskazini magharibi inaungia bariadi ndo unakutana na Kijiji funga kazi kinaitwa Gamboshi hiyo ndo mitaa ya JOKA LA MAKENGEZA ndo maana Kuna mtu akauliza mbona hii njemba Kila kashfa ya upigaji lazima alambe Kuna mtu akasema ooh yule ni mwanasheria nguli from havard! Hiyo siyo sababu kwani wakubwa wanajua ukipigwa juju unamfata JOKA anakupeleka huko Gamboga unabinuliwa kichuguu unachanjwa Kisha sangoma anakuweka dole lile kubwa bila kujali cheo wa protoko maana vyote unaviacha dsm kama siyo dom sasa mtu kama huyu Kuna wa kumgusa kweli?

Kuna kata inaitwa mwamanongu meatu kila mtu ni mchawi tena wachawi wakubwa
 
Back
Top Bottom