Huwezi kuamini kuna watu wanaishi huko wewe unakoona hakuna makazi..wengi ni wafugaji! Tanzania ni kubwa sana..wanasema tembea uone!Vijiji vya njiani ukiwa unapita kwenda mikoani unakuta mtu anatembea kuelekea uelekeo ambao ww huoni nyumba
Kupata kiberiti Lazima upande tandamu zinazobeba magogo uwape 1500 na kurudi 1500 jumla buku tatu kiberiti Cha miakuna nini mkuu hebu tiririka tujue
Kupata kiberiti Lazima upande tandamu zinazobeba magogo uwape 1500 na kurudi 1500 jumla buku tatu kiberiti Cha mia
Nilipanda mboga mashambani kwenda kuchuma nusura nibakwe na nyani...Sijui zilitaka kunipiga🤨 nilitimuka macho yote nilihamishia mgongoni😔Huko hatari sana kama ndo hali hiyo
Sanga Sanga hii ya Mzumbe au ipi?? Kama ya Mzumbe hapa umepiga kamba, kijiji kina barabara, Na huduma zote za jamiiKijiji cha Sanga Sanga mkoani Morogoro..
Hivi KUBUKA ni kiswahili au? Nakumbuka linatumika sana Mtwara hukoDodoma ni hatari ,kuna vijiji vinapatikana shortcut (mpwapwa to Iringa road)
Imagine hadi wakiona gari wanakimbia,ilibidi tushuke kwanza tuwauulize maswali ya hapa na pale kuhusu maji,chakula maana Hamna mazao kabisa na vumbi linatimka muda wote ,Vitoto vimebuka hatari unahisi hata wakipiga maji hawatakati,kiswahili pia shida
24/7 watu wamelewa tu huko,kinachowalewesha Ni harufu ya mavi Muda wote.Dar jamani maeneo kama Mabibo, Kigogo, Tandale, Mchikichini n.k kuna mfumo mbovu wa maji taka huleta harufu mbaya na hewa nzito na joto kali
Gamboshi.Habari za muda huu wanajf.
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji Cha Baranga kata ya sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndo kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu , jua kali ndo kwao, vurugu Sasa ndo chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafikina timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa Sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa namgogoro wa mpaka wa shamba Kati ya ukoo na uko huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu Nini?
Sijafika huko, nimeonaHabari za muda huu wanajf.
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji Cha Baranga kata ya sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndo kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu , jua kali ndo kwao, vurugu Sasa ndo chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafikina timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa Sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa namgogoro wa mpaka wa shamba Kati ya ukoo na uko huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu Nini?
😂😂😂Vijiji vya njiani ukiwa unapita kwenda mikoani unakuta mtu anatembea kuelekea uelekeo ambao ww huoni nyumba
Kweli mkuu duuuhHuwezi kuamini kuna watu wanaishi huko wewe unakoona hakuna makazi..wengi ni wafugaji! Tanzania ni kubwa sana..wanasema tembea uone!
,😙🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃🇹🇿🇹🇿🇹🇿Vijiji vingi vya wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu utashangaa wasukuma Sijui walifata nini huko, unakuta kijiji hakina umeme Wala maji. Yaan Maji yao wanachimba mabwawa kipindi cha mvua Maji yanatuama humo basi ng’ombe na binadam wote ndo mnakunywa Maji hayo!! Maji Kama maziwa kuna wachawi huko sijapata ona!! Wanga wananza kuwanga saa moja jioni!! [emoji2][emoji2]
Huko unakuta msukuma ana ng’ombe 50-100 ila anakula ugali na dagaa wa mwanza wale gredi ya mwisho kabisa ambao huwa kwaajili ya vyakula vya Kuku!![emoji2][emoji2] huko ikifika saa 12 jioni tembo kutoka serengeti wanaingia kijiji kula miwa[emoji23][emoji23]
Ungepanda juu ya mti😂😂Nilipanda mboga mashambani kwenda kuchuma nusura nibakwe na nyani...Sijui zilitaka kunipiga🤨 nilitimuka macho yote nilihamishia mgongoni😔