Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Watu wanachimba dhahabu ndani ya msitu wa amazon. Hakuna uhusiano wa madini na maji.
 
Aisee kati ya visa vyote hiki ndio kimeniacha hoi.🤣🤣🤣
 
kuna mtu amewahi kufika kijiji kinaitwa “mbaa na vya mbele yake”? Ruvuma huko?2013 nilifika hakukuwa na mawasiliank yoyote ya simu ,ukihitaji mfanye mawasiliano hadi msogee kwenye baadhi ya miinuko mikubwa inayofahamika hivyo hapo utakuwa watu wengi kila mtu anafanya mawasiliano na usafiri gari zikifika kwenye milima mnashuka ipande yenyewe kwanza abiria ndio mfwate,gari ikipita wanaikimbilia na kuiimbia

Nilienjoy safari na mazingira ya beach sio mchanga ni mawe na fukwe zake unaweza kwenda umbali mrefu bila kuzama
 
Maeneo yale si shida kwa jeshi labda miundombinu ya barabara tu na makazi ya raia ,taliri ndio Inashare Geti na jkt si ndio kila chuo? Vianzi iko direction ipi kwenye ule mji?ni ndani ya eneo la jeshi? Sijaona jina hili Eneo la ramani
Nyuma huku kabla hujafika geti la jkt kuna majengo makubwa ya wajerumani huko ndy panaitwa vianze kwasasa majengo hayo yanatumiwa na taliri kama maboma ya mifugo tu
 
Ukienda huko meatu itilima ndio hakufai kabisa unakutana na kuna Bushmen na mishale yao kwa bega [emoji1787]
 
Hahaaaa, ni nimetoka huko toka 2014. Huko sio mchezo jamaa nasikia walikuwa wawindaji ndio maana waliishi huko. Niliendaga huko kuwinda Wanyamapori na kuchana mbao za Miminga na Mikora. Operation tokomeza ilinipitia ndio nikakimbia. Maisha haya
Haaa haaa Pole mzee, nilikuwa huko last week nazunguka na mwenge, Nchi hii ina maeneo ukifika unaishia kupigwa butwaa
 
Ukara island lake Victoria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…