New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Mkuu, ulienda kufanya nini hukoIlunde Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Kijiji kipo Porini, Kilomita 70 toka makao makuu ya Wilaya ya Mlele. Hakuna network wala nini na ni Porini hasa. Sijui walifuata nini kule.
Nipo Mpanda mjini ila naona jau, Sasa ingekua nipo huko Sijui ingekuaje