Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Nimesafiri karibia mkoa mziam wa sumbawanga na katavi nilienda kijij kimoja kipo nkasi gerezani kule tulienda nikakuta kijij sijui ndio center watu Ni wakora kinyamaa wakta nacheki cheki Kama nitampata mwalifu tulio muendee nikaona ngoja nichungulie ndani Kuna kibanda kipo kipo naziona silaya nzito nzito ndani mle nikasema moyon muda wowote nitatandikwa risasi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimecheka hadi nakohoa.
 
Niliuliza kwanini mnakula mirenda na madagaa kila siku wakati mna ng'ombe na kuku wengi. Nilichojibiwa ni kwamba eti kuku na ng'ombe ni ajili ya kuuzia Watu wa dar wao ni za kulima na kutoa mahali.
Pia nilichogundua jinsi wewe wa mwanza waavyopenda samaki, bukoba wanapenda ndizi na Kaskazini nyama kama chakula chao kikuu Basi na wao Chakula chao kikuu ni mlenda yaani ukimlisha nyama au samaki siku 4 unaweza kumuua mnyaturu😂

Ugali wao ni mgumu mara elfu ya wasukuma
Hao wakienda sehemu vyakula vizuri wanakula kama wametoka vitan,hicho chakula ni chakula cha njaa kali bana wanajinyima upumbavu tu
 
Mkuu izimbya nimeitembea maeneo yote barabara ziko vizuri japo ni changarawe, network kama VODA, tigo na HALOTEL zinasoma 4G isipokuwa maeneo kama kibirizi wanakaaa wanyarwanda, waha na wasukuma. Kuna hospital nzuri pale izimbya pia ni ya KKKT
Rudia kusoma comment yangu ya Kwanza,, Kama vipi nitolee ujuaji wako wa kihaya
 
Barabara ya kwenda Kilimanjaro nahisi ni wilaya ya Same Kuna nyumba moja nzuri tu imejengwa kwenye mlima kabisa ipo juu kileleni ipo peke yake ukipita barabarani kwa gari unaiona vzr tu...yule jamaa sijui alifikiria nini kujenga kule juu
wakati naenda arusha nilijiuliza sana,lakin kama kwa chini yake kuna nyumba ndogo ndogo.
 
Pia Kuna Kijiji Cha Msimba na Ng'apa pia Iyovi wilaya ya Kilosa- Morogoro watu wa kule sijui wanaishije maduka hamna Wala shule watoto wanatembe km 30 kufuata shule. Usiku Ni Giza tupu ukisafiri usiku hata usiku wa manane unakuta mtu Teena mwanamke Yuko barabarani na watoto wake wanatembe. Nyumba zao barabara hii wao hapa.
Ng'apa Ni Porini mkuu?
 
Huko sidhan kama mazingira ya kuish ni magumu kiasi hicho kwan kiasi kikubwa huduma zote za kijamii zinapatikana
Uru shimbwe,kijiji kiko mlimani barabara ni nyembamba na kuna makorongo wakati wa mvua barabara inateleza,lakini watu wanapanda mlimani na magari
 
Kabxaa aysee...kama hapo mabatin ndo changamoto ...hadi unashangaa hayo material ya ujenzi aliyapoandishaje mliman huko?
[emoji2][emoji2][emoji2] ajabu sana. Lakini mawe ya kujenga msingi wanapasua wenyewe. Saruji ndio taabu
 
Vijiji vya milimani ni noma! Utakuta watu wanaishi kwenye kilele cha mlima ambapo hata bodaboda haiwezi kupanda. Wanatembea umbali mrefu kufuata maji na mahitaji ya dukani. Kama hujazoea unaweza ukazimia kwa kupanda mlima mkali na mzigo kichwani.
 
Siku moja niko na jamaa yangu tunatafuta mashamba ya kukodi ya alizeti tulikua na mwenyeji anatutembeza mashambani. Mchana tunataka kurudi mwenyeji akatuambia twende kwanza kwake tule ndio tuondoke. Tukaona si mbaya.
Tumefika tukaenda sebuleni Chakula kikaja nikasahau kabisa kama Chakula chao kikuu ni mlenda.
Bwana bwana ulikuja ugali mgumu na mlenda mimi nilikua sijawahi kula mlenda wala ugali wa mtama[emoji28]

Nilihangaika mwenye ananiambia mbona hauli au chakula kibaya? Mimi naguna guna tu[emoji23], nilishwindwa kula aisee ilibidi nikaupiga picha hii hapa chini.
Yaani utadhani unakula hina. Watu wanawakiwa na jua huko ndio maana miguu yao imekomaa halafu myembamba kama mianzi imechomekwa kwenye mapaja [emoji125][emoji125]View attachment 2379797
Sijui ukizaliwa wap.? Hakuna chakula kitam kama hicho
 
Back
Top Bottom