Nilishawah kufika hapo aisee ni balaa zito nilitmka mbio mno.milima tu afu mirungi mtu analia na ugali pia ni wachoyo sana watu wakule ntaleta mkasa mzimaHuko same kuna sehemu inaitwa mamba miamba,aisee ni mlimani hatariiii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishawah kufika hapo aisee ni balaa zito nilitmka mbio mno.milima tu afu mirungi mtu analia na ugali pia ni wachoyo sana watu wakule ntaleta mkasa mzimaHuko same kuna sehemu inaitwa mamba miamba,aisee ni mlimani hatariiii.
Suji? Nilifika miaka 2 iliopita walikuwa wanamalizia kuweka lami ile barabara. Nilitamani kungekuwa kwetu.Tembea uone usingoje kuambiwa aliimba Dr Remmy Ongara
inaonekana hujatembea
Nenda Upareni kule juu Milimani
Kuna barabara ya lami hadi juu kabisa umeme upo wa uhakika,Maji ya bomba kabla ya uhuru yalikuwepo
Hapo shida labda iwe maji tu mengineyo yanazungumzikaKuna sehemu moja huko Monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku.
Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme, maji, choo, nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu, dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi, hakuna hata kuangalia habari, jioni ni kuota Moto tu.
Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
Nenda Upareni sehemu inaitwa Usangi barabara ilikuwepo toka enzi ya Mjerumani na shule za seminari.Maji yapo toka miaka ya uhuru kule juu ni kijani kitupu watu wengi wanawachulia Wapare ni watu wa njaa sana wanaishi sehemu ya ukame wanasema hivyo wakichukulia kule tambarare Mwanga,Same,Kisangara na Hedaru ila ukweli ni kwamba ni kama mji wa Moshi ulivyo wapare wanakaa kule milimani kwenye maendeleo ya kutisha.Suji? Nilifika miaka 2 iliopita walikuwa wanamalizia kuweka lami ile barabara. Nilitamani kungekuwa kwetu.
Kama wako na Dunia Yao hivii duuuu hatarrrKuna sehemu moja huko Monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku.
Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme, maji, choo, nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu, dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi, hakuna hata kuangalia habari, jioni ni kuota Moto tu.
Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
Kukoje huko mkuuUkwama mvuha morogoro
Hongera mkuuNenda Upareni sehemu inaitwa Usangi barabara ilikuwepo toka enzi ya Mjerumani na shule za seminari.Maji yapo toka miaka ya uhuru kule juu ni kijani kitupu watu wengi wanawachulia Wapare ni watu wa njaa sana wanaishi sehemu ya ukame wanasema hivyo wakichukulia kule tambarare Mwanga,Same,Kisangara na Hedaru ila ukweli ni kwamba ni kama mji wa Moshi ulivyo wapare wanakaa kule milimani kwenye maendeleo ya kutisha.
Kule huwezi kuta nyumba za majani hata siku moja kuna shule nyingi mno watu wa kule ni wasomi mno walimkubali mkoloni mapema mno na kupeleka watoto wao shule.
Nenda Suji nenda Mamba nenda Kihurio ndio utajua wapare ni kabila dogo lakini wana maendeleo makubwa mno Mshana Jr ni shahidi.
Aise karibu tena aisee mimi nimeoa huko nasifia ukweni
Kukoje huko mkuuKeigei huko Lindi matekwe.
Ulishuhudia nnMeatu kuna vijiji nilifika nikasema kweli Rais wa Tanzania ana kazi kubwa.
Ni kama Dunia nyiñgine hiviZanzibar Michamvi... aisee km huwezi ishi ktk zile hotels au zile Bungalow za watalii ni shida, yaani wenyeji wanaishi ktk vinyumba vya makuti alafu kuona nyoka yupo ndani au kaning'inia juu ya mirunda ndani ni kawaida tuu 😅😅😅😅
Kwengine wilaya ya Tandahimba Mtwara, yaani kule ni msituni japo vijiji na watu wanaishi, yaani maji shida usafiri shida chakula ni Ming'oko na Panya kwa wingi, pombe no Bear kule ni Gongo (nipa) au Mnazi 😅😅😅 maji hata yakunawia uso asubihi ni deal.... sita rudi tena hizo pande kwakweli Duh!!
Pakoje mkuu maana nmetoka huko juziGairo
Ismani kubwa sana ingawa kweli kijiji cha Ismani hakuna kituo cha mafuta na kwa Tanzania hii vijiji vingi havina vituo vya mafutaIsimani, Iringa. Hakuna kituo cha mafuta ya magari. Hadi ununue kidebe au uende mjini.
Ova
Hadi Nyang'oro, kote hakuna vituo. Nimepazungumzia huko kwa sababu nililazimika kukaa hapo kwa wiki tatu kikazi, nami si shabiki wa videbe.Ismani kubwa sana ingawa kweli kijiji cha Ismani hakuna kituo cha mafuta na kwa Tanzania hii vijiji vingi havina vituo vya mafuta
Kijiji Gani mkuu?Meatu kuna vijiji nilifika nikasema kweli Rais wa Tanzania ana kazi kubwa.
AaahaaaaKuna kata inaitwa mwamanongu meatu kila mtu ni mchawi tena wachawi wakubwa